Ali Kamwe
@AliKamwe
@Media & Communication Manager of Yanga, Holds CAF Coaching License C
ID:1214053558984667136
06-01-2020 05:19:17
672 Tweets
358,5K Followers
99 Following
π¨Ndani ya siku 1 baada ya Viingilio vya Kariakoo Derby Vitangazwe .. TIKETI 115 za πππ π zimeshanunuliwa
#MachoYoteKwaMkapaJumamosi ποΈ
Nimemuomba Rais wa Yanga Eng. Hersi Said Kwenye Kilele cha Wiki ya Wananchi kuufungua Msimu wa 2024/25 Apambane Atuletee Mamelodi Sundowns
Sisi na Wao Bado Hatujamalizana..
Timu tunazoweza kukutana nazo Robo Fainali ya CAF CHAMPIONS LEAGUE
1: Mamelodi Sundowns
2: Asec Mimosas
3: Petro de Luanda
Mechi ya kwanza ya Nyumbani itachezwa kati ya Machi 29-31.
Young Africans SC Tuko Tayari π°β
Samahani Nilizima tukiwa Hatua ya Makundi kama Makolo, nimezinduka naona Young Africans SC tuko Robo Fainali na wakubwa wenzetu kina Mamelodi Nini kimetokea kwani?
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Rais Eng Hersi Said, Leo mdhamini na Mfadhili wa Young Africans SC GHALIB SAID MOHAMMED βGSMβ AMEKUBALI KUJENGA UWANJA WA KISASA WA YANGA, Makao Makuu ya Klabu, Jangwani ποΈ
Wananchi Leo Sokoine wimbo ni mmoja Tu .. GSM GSM GSM π€©
Uongozi wa Young Africans SC Umetoa Zawadi kwa Wanachama wote watakaojiandikisha kwenye Mfumo wa Kidigitali, Leo hapa Bukoba, Watapata Fursa ya kwenda kuangalia Mazoezi ya mwisho ya Timu yatakayofanyika kuanzia saa 11:30 jioni Kaitaba Stadium.
Usajili Unaendelea Ukumbi wa Linus
Enjoy kwa kuwa wa kwanza kusoma/kutazama Habari zote za Klabu yako ya Young Africans SC kupitia YANGA APP iliyofanyiwa marekebisho makubwa.
Epuka Habari za kuokota mitandaoni, Habari sahihi zote ziko kwenye YANGA APP kwa 2000 Tu.