Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profileg
Clouds Media

@CloudsMediaLive

A multi-national company that is one of East & Central Africa’s most respected media houses and has been recognized as one of the country's premier.

ID:3305347245

linkhttps://www.cloudsmedia.co/ calendar_today01-06-2015 07:17:34

78,5K Tweets

1,6M Followers

44 Following

Follow People
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

'Tutarusha satellite yetu na itafanya vitu vingi sana, pamoja na mambo mengine ya utafiti lakini itakuwa mbadala kwamba ikitokea tatizo tunatumia satellite na kwa mujibu wa sayansi ipo kasi nzuri na kwa ubora kwenye cable kuliko satellite' - Nape Moses Nnauye

account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

'Hakuna mahali ambapo tumemkatalia Starlink, kufanya kazi nchini kwetu. Utaratibu ni rahisi sana, unaomba leseni kwenye mtandao na Mtandao unakuondoa page moja kwenda nyingine kadri unavyojaza. Wao waliomba ikafika mahali walikwama' - Nape Moses Nnauye

account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Nchni (UNHCR) Bi. Mahoua Parum’s pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Nchni (UNHCR) Bi. Mahoua Parum’s pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Katibu mkuu ofisi ya Rais, mipango na uwekezaji Dkt. Tausi Kida amekutana na kufanya mazungumzo na mkuu wa idara ya Afrika Mashariki wa Uholanzi, Bi. Sanne Lowenhardt pamoja na mshauri maalum kuhusu Africa wa wizara hiyo Bw. Melle Leenstra kuhusu uboreshaji wa mazingira ya

Katibu mkuu ofisi ya Rais, mipango na uwekezaji Dkt. Tausi Kida amekutana na kufanya mazungumzo na mkuu wa idara ya Afrika Mashariki wa Uholanzi, Bi. Sanne Lowenhardt pamoja na mshauri maalum kuhusu Africa wa wizara hiyo Bw. Melle Leenstra kuhusu uboreshaji wa mazingira ya
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa nchi, ofisi ya Rais, tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema serikali haitavumilia ukiukwaji sheria na hatua kali zitachukuliwa kwa watumishi watakaobainika kukiuka sheria kwenye ukusanyaji mapato ya serikali.

Mhe.Mchengerwa

Waziri wa nchi, ofisi ya Rais, tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema serikali haitavumilia ukiukwaji sheria na hatua kali zitachukuliwa kwa watumishi watakaobainika kukiuka sheria kwenye ukusanyaji mapato ya serikali. Mhe.Mchengerwa
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

'Na hivi tunavyoongea baada ya internet kukatika mpaka leo Saa 10 Alfajiri tulikuwa tumesharejesha 78% ya huduma ya internet katika nchi tumebakisha 22%, mpaka kufikia leo mchana tutakuwa tumekamilisha karibia 90% na kitu kama sio mia moja' - Nape Moses Nnauye

account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa kana tarehe 14 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa kana tarehe 14 Mei, 2024. #CloudsdigitalUpdates
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa serikali inatambua umuhimu na mchango wa utafiti wa kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi.

Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Mei 14, 2024 jijini

Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema kuwa serikali inatambua umuhimu na mchango wa utafiti wa kisayansi katika nyanja za kijamii, kiuchumi na kisayansi zinazochangia kuchochea maendeleo ya nchi. Dkt. Biteko ameyasema hayo leo Mei 14, 2024 jijini
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali, wadau wa nishati pamoja na washiriki katika mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika uliofanyika katika makao makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi mbalimbali, wadau wa nishati pamoja na washiriki katika mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika uliofanyika katika makao makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Tanzania inatarajiwa kunufaika na uanachama wake katika jumuiya za nishati za Afrika Mashariki yaani (East African Power Pool) na Kusini (South Africa Power Pool) katika maeneo mbalimbali ikiwemo biashara ya umeme pamoja na kuunganishwa katika gridi ya pamoja.

Hayo yamebainishwa

Tanzania inatarajiwa kunufaika na uanachama wake katika jumuiya za nishati za Afrika Mashariki yaani (East African Power Pool) na Kusini (South Africa Power Pool) katika maeneo mbalimbali ikiwemo biashara ya umeme pamoja na kuunganishwa katika gridi ya pamoja. Hayo yamebainishwa
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika uliofanyika katika makao makuu ya UNESCO jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024.

Rais Samia pia ni mwenyekiti mwenza wa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia kwa Afrika uliofanyika katika makao makuu ya UNESCO jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024. Rais Samia pia ni mwenyekiti mwenza wa
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio mara baada ya kuwasili katika makao makuu ya UNESCO jijini Paris nchini Ufaransa akiwa kinara wa nishati safi ya kupikia, Afrika.

Rais Samia anashiriki mkutano huo wa kimataifa

Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo Rais wa Sierra Leone Mhe. Julius Maada Bio mara baada ya kuwasili katika makao makuu ya UNESCO jijini Paris nchini Ufaransa akiwa kinara wa nishati safi ya kupikia, Afrika. Rais Samia anashiriki mkutano huo wa kimataifa
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Uhitaji wa mafuta yanayotokana na maganda ya korosho ni mkubwa sana ila kwa Tanzania hatuna maganda ya kutosha' Miriam Ainah - Mkurugenzi Wa Kampuni inayozalisha mafuta kutokana na Taka za Korosho ya Golden Leaf Energy.

US Embassy Tanzania

account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

'Sisi tunayakamua maganda ya Korosho tunapata mafuta, yale mafuta. Tunasafirisha kuyapeleka nchi mbalimbali ikiwemo Marekani wenyewe wanayatumia kutengeneza rangi, vilainishi' Miriam Ainah - Mkurugenzi Golden Leaf Energy.

US Embassy Tanzania

account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.

Rais Samia yupo nchini Ufaransa kwa ajili ya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024. Rais Samia yupo nchini Ufaransa kwa ajili ya
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Serikali imewataka wastaafu kujiepusha kuingia kwenye mitego ya matapeli wanaowalaghai ana kwa ana au kwa kuwapigia simu wakati wanafuatilia mafao yao wakiwataka watoe hela ili kupatiwa huduma kwa haraka.

Wizara ya fedha kupitia kwa mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa wizara

Serikali imewataka wastaafu kujiepusha kuingia kwenye mitego ya matapeli wanaowalaghai ana kwa ana au kwa kuwapigia simu wakati wanafuatilia mafao yao wakiwataka watoe hela ili kupatiwa huduma kwa haraka. Wizara ya fedha kupitia kwa mkuu wa kitengo cha mawasiliano wa wizara
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameanza utekelezaji wa ahadi yake ya kumjengea bibi Penina Petro (70) vyumba vitatu na sebule huko Siwandete kata ya Kiranyi wilayani Arusha.

Mhe. Mkuu wa mkoa aliahidi kumjenga nyumba bibi huyo wakati wa kliniki yake ya

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameanza utekelezaji wa ahadi yake ya kumjengea bibi Penina Petro (70) vyumba vitatu na sebule huko Siwandete kata ya Kiranyi wilayani Arusha. Mhe. Mkuu wa mkoa aliahidi kumjenga nyumba bibi huyo wakati wa kliniki yake ya
account_circle
Clouds Media(@CloudsMediaLive) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameanza utekelezaji wa ahadi yake ya kumjengea bibi Penina Petro (70) vyumba vitatu na sebule huko Siwandete kata ya Kiranyi wilayani Arusha.

Mhe. Mkuu wa mkoa aliahidi kumjenga nyumba bibi huyo wakati wa kliniki yake ya

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda ameanza utekelezaji wa ahadi yake ya kumjengea bibi Penina Petro (70) vyumba vitatu na sebule huko Siwandete kata ya Kiranyi wilayani Arusha. Mhe. Mkuu wa mkoa aliahidi kumjenga nyumba bibi huyo wakati wa kliniki yake ya
account_circle