Dr. Stergomena Lawrence Tax
@DrTaxs
Minister for Defence & National Service
ID:3322762636
https://www.modans.go.tz 13-06-2015 09:36:04
3,6K Tweets
26,8K Followers
285 Following
Grateful to engage with the UN Under Secretary General for Peace Operations, HE Jean Pierre Lacroix. Renewed our commitment to cooperate in promoting and sustaining peace United Nations WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Jean-Pierre Lacroix
Naungana na Mhe Rais Samia Suluhu kutoa pole kwa Mhe William Samoei Ruto, PhD ndugu na jamaa, na kuwaombea marehemu wapumzike kwa amani Kenya Defence Forces WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA 🙏
Pongezi kwa viongozi na wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ulinzi & timu ya soka ya Ulinzi kwa ushindi mnono leo 17/4/2024 ktk michuano ya Mei Mosi Taifa huko Arusha. Tunajivunia na kuthamini juhudi zenu. Ni matumaini yetu mtarudi na ubingwa WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
Hongereni sana Mashujaa FC kwa ushindi wa kibabe dhidi ya Simba SC. Hakika mmeonyesha kuwa ninyi ni mashujaa na wengine wanahitaji kujifunza kutoka kwenu, Awii….. WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MASHUJAA FC Jeshi la Wananchi wa Tanzania
Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa inawatakia Eid Mubarak WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Jeshi la Wananchi wa Tanzania The University of Dodoma
Ktk mazungumzo na Balozi wa Ubelgiji nchini Tanzania Mhe Zsolt Meszaros tumepitia ushirikiano wetu katika Sekta ya Ulinzi (Tanzania na Ubeligiji, na Tz na Umoja wa Ulaya). Pia nimeeleza kuhusu mchango EAC & SADC ktk kuimarisha amani na usalama Kikanda WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
Leo 28/3/24 katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Hungary, Mhe Peter Sziijarto tumekubaliana kuimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali yanayohusu amani & usalama kimataifa, na ktk sekta za ulinzi kati ya Tanzania na Hungary WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA MFA Tanzania
Inaendelea …… Mafanikio ya miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya uongozi shupavu wa Samia Suluhu kazi inaendelea WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Msemaji Mkuu wa Serikali
Miongoni mwa mafanikio ya miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya sita chini ya uongozi shupavu wa Samia Suluhu kazi inaendelea WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA Bunge la Tanzania
In memory of His Excellency #DrJohnPombeMagufuli , we honor his legacy. His good deeds will never be forgotten.
Samia Suluhu António Guterres
Jakaya Kikwete Cyril Ramaphosa 🇿🇦 Ambassador Michael Battle US Embassy Tanzania MFA Tanzania Dr. Philip Isdor Mpango Kassim Majaliwa Majaliwa Dr. Tulia Ackson Ummy Mwalimu, MP
Clearly communicated by HE Samia Suluhu “Mimi kama Samia sina kundi” ikulu_Tanzania Msemaji Mkuu wa Serikali WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA
Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe Dr. Stergomena Lawrence Tax Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Meja Jenerali Gimonge (Mstaafu)