Jamii Forums
@JamiiForums
The Home of Great Thinkers | East Africa's leading Discussion Board | Citizen Journalism
ID:49632982
http://t.me/JamiiForums 22-06-2009 13:50:07
63,7K Tweets
1,7M Followers
325 Following
Vipi Mdau, nawe Unahitaji Miaka mingapi ili uweze kufanikiwa kupitia Kazi unayoifanya?
Mjadala jamii.app/MafanikioKazi
#JamiiForums #Mafanikio #Maisha #JFChitChats
JamiiForums inakutakia Asubuhi Njema na Siku yenye Baraka na Mafanikio katika Upambanaji wako
#JamiiForums #GoodMorning #AmkaNaJF
FA CUP: Licha ya #ManchesterUnited kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya #CoventryCity inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3
Baada ya kuongeza dakika 30 katika Nusu Fainali
Kushiriki mjadala bofya jamii.app/SifaBungeni
#JamiiForums #Accountability #UtawalaBora #Uwajibikaji #Governance #JFToons
Vipi Mdau, ulijisikiaje ulipogundua unakaribia kuwa Mzazi kwa mara ya kwanza?
Mjadala jamii.app/HisiaZaKuwaMza…
#JamiiForums #Maisha #JFChitchats
Baada ya #Yanga kuifunga Simba magoli 2-1, jana Aprili 20, 2024 katika #LigiKuuBara inamaanisha kwa ujumla Msimu wa 2023/24, #Simba imekubali kichapo cha magoli 7-2 kutoka kwa Wapinzani wao wa Jadi kwa kuwa matokeo ya mechi ya kwanza yalikuwa magoli 5-1
#JamiiForums #JFWatani
Kipindi cha Uchaguzi hugubikwa na mambo mengi ya Kuzusha
Huwa zinasambaa, Picha, Video na Matukio mbalimbali ambayo huacha Watu pasipo majibu ya Ukweli wake
Je, ni Picha, Video au tukio gani unadhani lilikuwa la Uzushi katika chaguzi zilizopita?
#JamiiiCheck #HakikiTaarifa