Mbundi John
@JohnMbundi
A fact of life we all die.But the positive impact you have on others 'll be a living legacy..!
#ElimikaWikiendi #MUFC #SimbaSC
ID:1572855192
06-07-2013 14:08:45
212,2K Tweets
6,0K Followers
1,5K Following
Passo🔥
Cc 990
Year 2005
Full Ac💦
Tsh: 3,800,000/=
WHATSAPP || CALL +255655777249
Dar-Es-Salaam, Tanzania 🇹🇿
#AssengaMagariTz
Toyota vista🔥
Engine 3S
Cc 1990
FullAc💦
Rimsports
Body✅
Engine✅
Gearboc✅
Tshs: 4,900,000/=
WHATSAPP || CALL +255655777249
Dar es salaam, Tanzania🇹🇿
#AssengaMagariTz
Jifunze kuhusu ya Fistula ya Uzazi na umuhimu wake kwa jamii.
Miss Caryn Khan atatupa somo kesho kwenye #ElimikaWikiendi
Kesho mapema asubuhi, mrembo Caryn Khan atakuwepo katika jukwaa la #ElimikaWikiendi kwa ajili ya kutupa madini kuhusu elimu ya Fistula ya Uzazi na umuhimu wake kwa jamii. Usikose.!
#ElimikaWikiendi
Kuna Watu Mpaka Leo Wanaamini Fistula Ni Ugonjwa Unaotokana Na Imani Za Kishirikana Kitu Ambacho Sio Kweli,
Sasa Kesho Caryn Khan Atajuimuika Nasi Kutupa Elimu Ya Fistula Ya Uzazi Na Umuhimu Wake Kwa Jamii Usikose Jamvini Kwenye #ElimikaWikiendi Kesho.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA_TANZANIA wamekuja na ubunifu Wa kuwa na Vipindi vya YouTube Vinavyoangazia mambo mbalimbali kuhusu Mawasiliano. Leo Tarehe 12 Aprili
🕕: SAA 12:00 Jioni
📺: YouTube, Facebook & Instagram @tcra_tanzania
Bofya link youtube.com/live/wlPgdZ4nJ
Dada mcheshi hana makuu ndani ya #ElimikaWikiendi ni @carynkhan7 akitupasha Elimu ya Fistula. Usikose.
Karibu kwenye wikiendi ya kupeana maarifa na kukuza uelewa kwa njia ya mtandao.
Hii ni #ElimikaWikiendi
Bei ya kondoo ipo mkiani!
Huu ni wasaa wa makuzi ya Kiswahili ambapo waswahili hujimwaya na Nahau, Misemo, Methali
Usipange kukosa #ElimikaWikiendi .
Tunza mazingira yakutunze.
Mtaalam wa afya na mazingira @Regina_magoke atatupitisha kufahamu fursa za mazingira zinazoweza kuwanufaisha vijana #ElimikaWikiendi
Mitandao ya kijamii ni uwanja mpana wa Fursa na Ajira.
Unaitumiaje kufikia malengo kwenye soko la ajira? Jiunge Afisa Masoko na Mbunifu Aman Martins | Champ kujifunza zaidi #ElimikaWikiendi
Jifunze zaidi kuhusu “Elimu ya Fistula ya Uzazi na umuhimu wake kwa jamii”
Tutakuwa na Caryn Khan mwanzilishi mkurugenzi wa Angela becaty #ElimikaWikiendi
Suala la ujenzi wa nyumba bado ni pasua kichwa kwa wengi.
Jifunze namna ya kuokoa 30% ya gharama za ujenzi kutoka kwa wataalam wa ujenzi WAJENZI BORA CO.LTD katika jukwaa bora la elimu #ElimikaWikiendi
Kwenye 10 za Je, Wajua Jumamosi hii tutakuwa na 𝐊𝐢𝐝𝐮𝐝𝐮 𝐌𝐭𝐮 𝐉𝐑™ jukwaani #ElimikaWikiendi
Tukutane kesho saa 3:00 asubuhi!
Kesho ndani ya #ElimikaWikiendi kupitia darasa la Afya tutaungana na Caryn Khan akitupatia Elimu kuhusu ugonjwa wa fistula. Usikose!!!!
Usikose kuungana na WAJENZI BORA CO.LTD kesho kupitia #ElimikaWikiendi upate kufahamu namna ya kuokoa gharama za ujenzi wa nyumba za kisasa.
Kesho ndani ya #ElimikaWikiendi tutakua tunapata madini mazito ya fursa za vijana kupitia mazingira kutoka kwa Regina Magoke. Usikose!!!
We're honoured to participate in the Hivos East Africa R.O.O.M closeout program happening in Machakos, Kenya from the 10th-13th of this month. This opportunity allows us to showcase our contributions to the program & most importantly, learning from others
Alpha Kimweri & Gertrude rep