viola julius
@VwalaViola
history is herstory too... as a woman i take unusual effort to succeed for if i fail they will say women don't have what it takes
ID:3048029357
20-02-2015 20:58:12
87,8K Tweets
15,4K Followers
1,7K Following
Siku imeisha ๐ช๐ฟ. Ahsanteni sana mabosi zangu kutoka hapa X kwa kuendelea kutuamini lapexproperties ๐ช๐ฟ๐ช๐ฟ jana na leo kazi nyingi zilikuwa za kutoka hapa X. # hustle includes weekend #landsurveyor #mpima #surveylife
Invest in 'women who run boutiques and beauty salons, who operate restaurants and sell vegetables at the market' I couldn't agree more Melinda French Gates
gatesfoundation.org/ideas/articlesโฆ via Gates Foundation
Wa pili kutoka kulia ni Kiongozi wa ACTWazalendo, Ndg Dorothy Semu; na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Kivuli, Ndg Isihaka Mchinjita
Wa kwanza kulia ni Waziri Kivuli wa Fedha, Ndg Kiza Mayeye. ; na kwanza kushoto ni naibu wake, Ndg shangwe Ayo.
#CAG
#KaziInaendelea
#KufujaFedhaZaUmma
Mafanikio sekta ya Elimu
Serikali imeweza kuwapatia jumla ya vijana 22,547 (Wanaume 11,485 na Wanawake 11,062) mafunzo ya Amali, Elimu ya Ufundi, Kazi za Mikono, ujasiriamali na Sanaa.
@JokateM katibu mkuu UVCCM
#UmojaWaVijanaNguvuYaTaifa
'Napenda kuendelea kusisitiza umoja, upendo, ushirikiano katika kuijenga jumuiya yetu ya Vijana UVCCM'- Katibu mkuu UVCCM @JokateM
#UmojaWaVijanaNguvuYaTaifa
Leo kwenye Kongamano la Ngome ya vijana_Official wa chama cha ACTWazalendo linafanyika Ukumbi wa #PiccaDillyHall -Kombeni ambapo Mgeni Rasmi atakuwa Mhe Othman Masoud Othman M'Kiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa.
Nipo na Naibu katibu Vijana Ruqayya Mahmoud Nassir
#10MamlakaKamili
Chini ya uongozi wangu sitegemei mambo ya uchonganishi na kurudishana nyuma; tukiona vijana wenzetu wana uwezo na wanawania nafasi mbalimbali za uongozi tuwaunge mkono badala ya kuwawekea vikwazo. ~ Jokate Mwegelo #JUM #UmojaWaVijanaNguvuYaTaifa