Bunge la Tanzania
@bunge_tz
Bunge la Tanzania ni baraza la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linalotunga sheria na kuisimamia serikali katika utekelezaji wa majukumu yake.
ID:4022434875
http://www.parliament.go.tz/ 23-10-2015 07:03:45
3,0K Tweets
555,9K Followers
9 Following
Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson(Mb) akizungumza na Wabunge kutoka Bunge la Zambia ambao ni Wajumbe wa Kamati ya Bunge hilo ya masuala ya Uchukuzi leo tarehe 25 Aprili, 2024, Ofisini kwake Jijini Dodoma. Dr. Tulia Ackson