Jokate Mwegelo
@jokateM
Visionary | Leader | Former District Commissioner - UR Tanzania, President’s Office | Secretary General Women’s Wing @ccm_tanzania member of @clubdemadrid
ID:383368286
01-10-2011 19:13:19
45,2K Tweets
1,1M Followers
1,3K Following
Follow People
I am humbled and grateful that the World Youth Development Forum Committee and All China Youth Federation have given me the opportunity to share to the global leaders about the #onecomputerlaboneschool Project at the World Youth Development Forum's opening ceremony in Beijing.
As I’m hopeful to see what Jokate Mwegelo has in store for UWT, my one and only request is to re-establish the UWT archives and make it public for those interested to read history. I have been reading about women during and after independence and there are mentions of magazines by UWT
Mimi sio CCM Wala Chadema, ila mara yangu ya kwanza kumfaham Mh.Jokate Mwegelo ilikuwa mwaka 2011 kipindi namaliza Darasa la Saba pale RuandaNzovwe (Mbeya), alipo Toka na sas alipo najifunza mengi hasa kutokata tamaa ya kupambana na kusubiri wakati sahihi kwenye maisha yako. 🙏
viola julius Jokate Mwegelo Umoja wa Wanawake Tanzania ok ni wakati sasa wa kumuunganisha binti yangu huko
Najaribu kuwaza kwa sauti kwa alichokifanya Mh Jokate Mwegelo kingeweza kufanyika kwa ukubwa zaidi kikaweza kuwafika vijana wengi zaidi kijana angeweza kufika mbali kimaendeleo vijana wengi wanavitu ambavyo vinatija ila kwenye suala la kuwezeshwa ndo inakuwa changamoto.
Hongera sana…
Nimepata bahati ya kutembelewa ofisini kwangu na Mheshimiwa Jokate Mwegelo Tumezungumza machache zaidi nashukuru Sana kwa ukarimu wako umenihamasisha kujituma zaidi.
Mungu akubariki Sana kwa kujali, Kuthamini na kutumia wakati wako kwajili yangu.
Karibu Tena Mhe hapa ni kwako 😅🙏
Jokate Mwegelo Kiongoz wa wanawake machinga complex tunakukaribisha, wanawake na mabinti wapo tayar ,karib ujionee waambanaji kwenye vitengo tofauti
“Ni wahakikishie UWT tutakuwa daraja na sio kikwazo kwa wanawake ambao watakuwa na nia ya kugombea nafasi mbali mbali za uongozi” Ndg.Jokate Mwegelo Katibu Mkuu UWT.
#UWTkwaKilaMwanamke
Mheshimiwa Jokate Mwegelo kwakweli nina maswali mengi natamani kumuuliza…for inspiration purposes🥹🔥nilikua namfatilia sana since enzi ana brand ya kidoti…😊she is a very smart lady