WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profileg
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII

@maendeleoyajami

Ukurasa rasmi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum S.L.P 573 Dodoma, Tanzania :Official page for MoCDGWSG

ID:881852366605213697

linkhttp://jamii.go.tz calendar_today03-07-2017 12:29:23

6,2K Tweets

32,7K Followers

81 Following

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Highlights: Dodoma, Mei 15, 2024. Maadhimisho ya Siku ya Familia na Uzinduzi wa Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili kwa Wanawake na Watoto wa awamu ya pili (MTAKUWWA II 2024/25 - 2028/29)

account_circle
Dr. Dorothy Gwajima(@Dr_DGwajima) 's Twitter Profile Photo

I extend heartfelt gratitude to Ireland ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ช and all our development partners for their unwavering support towards the launch of the 2nd National Plan of Action to End Violence Against Women & Children.

Your collaboration through the United Nations TZ Tanzania SDG Acceleration

account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili (MTAKUWWA II), ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa

#Picha Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili (MTAKUWWA II), ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

FAMILIA IMARA BILA UKATILI INAWEZEKANA - WAZIRI DKT. GWAJIMA

Na WMJJWM, Dodoma

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema mifarakano katika familia ina athari kubwa kwenye malezi na makuzi ya watoto.

Waziri Dkt. Gwajima

FAMILIA IMARA BILA UKATILI INAWEZEKANA - WAZIRI DKT. GWAJIMA Na WMJJWM, Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amesema mifarakano katika familia ina athari kubwa kwenye malezi na makuzi ya watoto. Waziri Dkt. Gwajima
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Wawakilishi wa Umoja wa Mataifa Chiara Guidett na Ilke Wishc wakitoa salaam zao wameikumbusha jamii juu ya umuhimu wa familia kwani ndiyo chanzo cha upendo, furaha na ulinzi kwa watoto Vilevile kuhakikisha wanaume wanakuwa watetezi wa wanawake na Watoto badala ya kuwakatili na

Wawakilishi wa Umoja wa Mataifa Chiara Guidett na Ilke Wishc wakitoa salaam zao wameikumbusha jamii juu ya umuhimu wa familia kwani ndiyo chanzo cha upendo, furaha na ulinzi kwa watoto Vilevile kuhakikisha wanaume wanakuwa watetezi wa wanawake na Watoto badala ya kuwakatili na
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza kuhusu Siku ya Familia wakati wa maadhimisho hayo na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili katika Viwanja vya Chinangali jijini DodomaMei 15, 2024.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akizungumza kuhusu Siku ya Familia wakati wa maadhimisho hayo na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Awamu ya Pili katika Viwanja vya Chinangali jijini DodomaMei 15, 2024.
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akijumuika kucheza na kikundi cha sanaa cha ngoma ya asili kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akijumuika kucheza na kikundi cha sanaa cha ngoma ya asili kwenye Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Vikundi mbalimbali vya sanaa vikitoa burudani katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma Mei 15, 2024.

Vikundi mbalimbali vya sanaa vikitoa burudani katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma Mei 15, 2024. #SikuyaFamilia2024 #MTAKUWWAII
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe akifanya utambulisho wa Viongozi katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe akifanya utambulisho wa Viongozi katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt. Dorothy Gwajima akiwasili katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt. Dorothy Gwajima akiwasili katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya wageni wakiwa katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika Mei 15, 2024.

#Picha Baadhi ya wageni wakiwa katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika Mei 15, 2024.
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Baadhi ya wageni wakiwa katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika Mei 15, 2024.

#Picha Baadhi ya wageni wakiwa katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto unaofanyika Mei 15, 2024.
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Pindi Chana akiwasili katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Mei 15, 2024.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Pindi Chana akiwasili katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Familia na Uzinduzi wa Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto Mei 15, 2024. #SikuyaFamilia2024
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya Familia, leo Mei 15, 2024, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima yuko ndani ya kipindi cha Jambo, TBC 1 kuzungumzia siku hii.

Ametoa wito kwa familia kukaa pamoja na kuzungumza, teknolojia isiwe

Ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya Familia, leo Mei 15, 2024, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima yuko ndani ya kipindi cha Jambo, TBC 1 kuzungumzia siku hii. Ametoa wito kwa familia kukaa pamoja na kuzungumza, teknolojia isiwe
account_circle
WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII(@maendeleoyajami) 's Twitter Profile Photo

Ahsanteni wote mlioweza kujiunga Space na Mhe. Dr. Dorothy Gwajima licha ya changamoto kubwa ya mtandao kwa siku ya leo!! Hakika tutaandaa mkutano mwingine kuweza kuzungumza na kusikia michango yenu

account_circle