Duduqwa
@rashdady
mwananchi..
ID:774901304313470976
11-09-2016 09:24:02
427 Tweets
186 Followers
364 Following
Katina swala hili la mandonga mtu kazi,,inainyesha ni kiasi gani wanahabari wetu ni darasa la 7 B..wao wanaloliona wanaenda nalo bila kuhakiki taarifa,,ni George Job na #fredrichbundara ndio waliosimamia ukweli..
Ligi imesimama,wachambuzi kwa sasa wanachambua kuvunjika kwa ndoa ya Haji Manara Tena kiufundi zaidi ya vile wanavyouchambua mchezo wa mpira..kweli lile BUGATI.
Wapwaa tulikula kiapo kunyanyuana
Naona kama tuna sahau majukumu
Tuliyo pewa weka handle yako watu
Watakao like una wa follow wata follow back,hakikisha una Retweet wengi waone
#wapwatuinuane
Mpango ni RETWEET