Sonnino⚡
@sonnino123
Lawyer || Digital ||
ID:1188514214031347713
27-10-2019 17:54:21
251,2K Tweets
123,2K Followers
1,1K Following
Nani unamjua ana biashara na anapitwa? Muite muite Swahiba mpatie hii video aione na achukue hatua.
#SwahibaLanguLako
Kujengwa na kukarabati miundombinu ya umwagiliaji kutaongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 727,280.6 kwa mwaka 2020/2021 hadi hekta 983,466.06 ambazo ni sawa na asilimia 81.95 ya lengo la hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025 ~ Waziri wa Kilimo Mh Hussein M Bashe
#BajetiKilimo
#BajetiKilimo : Tanzania ni mzalishaji wa pili wa tumbaku Afrika kutoka katika kundi linaloitwa 'Others' ambapo uzalishaji umeongezeka kutoka tani 70,699 mwaka 2021/2022 na sasa uzalishaji ni tani 125,592 na mwaka ujao tunatarajia kufika tani 200,000. ~ Waziri Mhe Hussein M Bashe
'Maeneo Mengine muhimu yatakayotekelezwa na Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa Bajeti 2024/2025 ni pamoja kutunga sheria ya kilimo na kufanya marekebisho ya sheria ya Sukari Na.6 ya mwaka 2001 kwenye sheria ya Fedha ya mwaka 2024'~| Hussein M Bashe
#BajetiYaWakulima
Vipau sita vya Mpango na Bajeti Mwaka 2024/2025.
#BajetiYaWakulima
#Ajenda1030
#LishaTaifaLishaDunia
Vipaombele sita vya Mpango na Bajeti Mwaka 2024/2025.
#BajetiYaWakulima
#Ajenda1030
#LishaTaifaLishaDunia
Vipaombele sita vya Mpango na Bajeti Mwaka 2024/2025.
#BajetiYaWakulima
#Ajenda1030
#LishaTaifaLishaDunia