Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi toa
rudia
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine #DOZConvention2023
Wewe ni Mungu, mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine .
Wewe ni Mungu, mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine #TheBirthingPosition
Unafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo mwanadamu hawezi kutoa
Haufananishwi na kitu kingine #BeStrongandDoExploits
Wewe ni Mungu mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Unafanya mambo ambayo
Mwanadamu hawezi kufanya
Unatoa faraja ambayo
Mwanadamu hawezi kutoa
Haufananishwi na kitu kingine
#DOZFruitfulness
Asante Bwana, haufananishwi na kitu kingine, anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya, halleluya 🙌. Kumekucha, amka, Ni wakati wa kupokea Nuru, hapa ndipo! Good morning 🌅. Boaz Danken M Isaiah 54:2 Enlarge,stretch! Gen 1:18 fruitfulness Radio 47 #NuruNaEvahMwalili
#NuruNaEvahMwalili
Wewe ni Mungu mpasua bahari
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine #TuvukieMwakaJCC
Wewe ni Mungu mtuliza mawimbi
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine #TuvukieMwakaJCC
Mungu mwenye wivu
Unatunza maagano
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine #TuvukieMwakaJCC
Si mwepesi wa hasira
Unaghairi mabaya
Haufananishwi na kitu kingine
Haufananishwi na kitu kingine #TuvukieMwakaJCC
Isaiah 54:2 Enlarge,stretch! Gen 1:18 fruitfulness Boaz Danken M Radio 47 Good morning too Mama taifa na wanaligi wote, nashukuru Mungu nimeamka salama. Hakika Mungu haufananishwi na kitu kingine, anafanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya. May His name reign forever in my life. Hapandipo and it can never be other wise.
#NuruNaEvahMwalili