Crossophinah is bored at home. Kwahiyo mje for Game night Olele , from saa kumi na mbili na nusu. Shots on the Houseee🥳. Company ya Kutosha, Na wajanja ni wengi🤣 , so come prepared kupambana na wabadhirifu🤣.
Aliyewahi kuwa Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Mrisho Ngasa, amemshauri Mshambuliaji wa Pyramids, Fiston Mayele aliyewahi kuitumikia Yanga, kumalizana na watu waliomkosea kuliko kupambana na taasisi (Yanga) sababu anaamini kuwa Yanga sio ya kiongozi yeyote.
Faida za kiafya za matumizi sahihi ya mafuta ya nazi (coconut oil).
Uzi 🧵 Mfupi sana Repost Elimu hii kuwafikia wengi... 🤝
Mafuta ya nazi yana sifa za kiasili za kupambana na bakteria na fangasi, hivyo yanaweza kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi kama vile fangasi ukeni.…