Twende na Mama(@twendenamama) 's Twitter Profile Photo

VIJANA WANAOENDA MUJIBU WA SHERIA WAONGEZEKA.

TANZANIA

Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa kupitia Jeshi Ia Kujenga Taifa (JKT) imeendeIea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, kuwajengea uzaIendo na umoja wa kitaifa, na stadi za kazi.

VIJANA WANAOENDA MUJIBU WA SHERIA WAONGEZEKA.

TANZANIA

Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa  kupitia Jeshi Ia Kujenga Taifa (JKT) imeendeIea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, kuwajengea uzaIendo na umoja wa kitaifa, na stadi za kazi.
account_circle
Bimkubwatanzania(@Bimkubwatz) 's Twitter Profile Photo

VIJANA WANAOENDA MUJIBU WA SHERIA WAONGEZEKA.

TANZANIA

Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa kupitia Jeshi Ia Kujenga Taifa (JKT) imeendeIea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, kuwajengea uzaIendo na umoja wa kitaifa, na stadi za kazi.

VIJANA WANAOENDA MUJIBU WA SHERIA WAONGEZEKA.

TANZANIA

Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga Taifa  kupitia Jeshi Ia Kujenga Taifa (JKT) imeendeIea kuwapatia vijana wa Kitanzania mafunzo ya ukakamavu, kuwajengea uzaIendo na umoja wa kitaifa, na stadi za kazi.
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Zamani polisi walikua wanaingia kwa kulazimisha vituoni lakini hali ilikuwa hivi

Kwenye chaguzi zijazo Polisi wataungia kwenye vituo vya kura kisheria yaani sheria imewaruhusu kabisa kuingia na haya mabegi

Halafu na Usalama wa Taifa nao wamepewa haki hizo so wabeba mabegi

account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Tafiti na Ripoti mbalimbali zimekuwa zikieleza, ili Nchi na Serikali ziweze kupiga hatua kubwa Kimaendeleo, zinapaswa kujenga Taasisi Imara zinazoweza kusimamia Sheria na Taratibu bila kuingiliwa na Viongozi wanaoziongoza

Tafiti na Ripoti mbalimbali zimekuwa zikieleza, ili Nchi na Serikali ziweze kupiga hatua kubwa Kimaendeleo, zinapaswa kujenga Taasisi Imara zinazoweza kusimamia Sheria na Taratibu bila kuingiliwa na Viongozi wanaoziongoza

#JamiiForums #GoodMorning #AmkaNaJF #Governance
account_circle
WateteziTV(@WateteziTV) 's Twitter Profile Photo

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa onyo na kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanawake kupitia mitandao ya kijamii vinavyofanywa na mwanahabari Oscar Oscar kupitia habari picha za mzaha zinazofahamika kama Memes.

Kupitia barua yake LHRC imenukuu Ibara ya

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetoa onyo na kukemea vitendo vya udhalilishaji dhidi ya wanawake kupitia mitandao ya kijamii vinavyofanywa na mwanahabari Oscar Oscar kupitia habari picha za mzaha zinazofahamika kama Memes.

Kupitia barua yake LHRC imenukuu Ibara ya
account_circle
Jack upepo(@kikomasta) 's Twitter Profile Photo

Bila hawa watu hapa Duniani,kuna sheria nyingi sana zingepitishwa US na Ulaya na ingekuwa ni lazima dunia nzima kufuata hizo sheria.

Bila hawa watu hapa Duniani,kuna sheria nyingi sana zingepitishwa US na Ulaya na ingekuwa ni lazima dunia nzima kufuata hizo sheria.
#BilaGanzi
account_circle
Lubasha Jr(@MarekaMalili) 's Twitter Profile Photo

Ni bongo tuu watu wanaodai mabadiliko ya sera na sheria za kikodi wanaonekana wahalifu, tena na wanasiasa ambao probably maisha yao yote hawajawahi kufanya biashara.
This country is special.

account_circle
Wizara ya Madini(@MadiniTanzania) 's Twitter Profile Photo


'Pamoja na uwepo wa Sera ya Madini ya Mwaka 2009,bado kulikuwa na malalamiko mengi juu ya ushiriki wa Watanzania katika Sekta ya Madini.Marekebisho ya Sheria ya Mwaka ,2017 yametoa kipaumbele kwa Watanzania kushiriki katika Sekta ya Madini,' Waziri Anthony Mavunde.

account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia Habari Picha za Mzaha (Memes) anazozisambaza Mitandaoni

LHRC imenukuu Ibara ya 12 ya Katiba ya Tanzania inayolinda heshima ya kutambuliwa na

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimekemea Vitendo vya Udhalilishaji vinavyofanywa na Mwanahabari Oscar Oscar kupitia Habari Picha za Mzaha (Memes) anazozisambaza Mitandaoni

LHRC imenukuu Ibara ya 12 ya Katiba ya Tanzania inayolinda heshima ya kutambuliwa na
account_circle
The Chanzo(@TheChanzo) 's Twitter Profile Photo

Serikali yasema bado inakamilisha hatua za ndani ili kupeleka Bungeni muswada wa marekebisho ya sheria ya ndoa

account_circle
TAMWA Zanzibar(@TAMWA_Zanzibar) 's Twitter Profile Photo

'Tumewahi kuzungumza na Mhe. Rais kuhusu sheria hizi, na Waziri pia, nadhani inabidi tupange kuzungumza nao tena ili tuone hili linakwendaje. Haitapendeza hata kidogo tumalize mwaka huu na bado hatujapata mabadiliko ya sheria za habari', Dkt. Mzuri Issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.

'Tumewahi kuzungumza na Mhe. Rais kuhusu sheria hizi, na Waziri pia, nadhani inabidi tupange kuzungumza nao tena ili tuone hili linakwendaje. Haitapendeza hata kidogo tumalize mwaka huu na bado hatujapata mabadiliko ya sheria za habari', Dkt. @mzuri_issa, Mkurugenzi TAMWA ZNZ.
account_circle