Martin Maranja Masese(@IAMartin_) 's Twitter Profile Photo

Tundu Lissu ni moja ‘forefront soldiers’ wa kupigania “Zanzibar kamili”. Lakini, Tanganyika haipo. Zanzibar ipo lakini inapokea maelekezo kutoka Dodoma. Msimamo wa CHADEMA katika muundo wa Muungano ni serikali tatu. Shirikisho, Zanzibar na Tanganyika. Hasira mnatoa wapi?

account_circle
Tanzania Abroad TV(@AbroadTanzania) 's Twitter Profile Photo

Ila Lissu ni kichwa sana aisee Kama usipoelewa hapa basi una matatizo ya akili Kaeleza kuhusu zanzibar inavyonyonya bara hadi mwili ukachoka

account_circle
Hassan Khamis 🇵🇸(@hassankham1s) 's Twitter Profile Photo

It is a privilege to identify myself as a Zanzibari, in accordance with the Zanzibar Constitution, which recognises our unique identity. This esteemed document enshrines our status as people of Zanzibar, affirming us as Zanzibari.

It is a privilege to identify myself as a Zanzibari, in accordance with the Zanzibar Constitution, which recognises our unique identity. This esteemed document enshrines our status as people of Zanzibar, affirming us as Zanzibari.
account_circle
Think Different(@lifeofmshaba) 's Twitter Profile Photo

Lissu : Kuna fursa na upendeleo kwa Mzanzibar, kule Zanzibar kuna wapiga kula 500,000 tu wana majimbo 50 yaani kila watu 10000 wana jimbo

Dar ina majimbo 7 lakini ina watu 5,000,000 kila watu laki 7 Wana jimbo moja hii maana yake nini kwenye Muungano? Fursa za Mzanzibar ni Vyeo

Lissu : Kuna fursa na upendeleo kwa Mzanzibar, kule Zanzibar kuna wapiga kula 500,000 tu wana majimbo 50 yaani kila watu 10000 wana jimbo

Dar ina majimbo 7 lakini ina watu 5,000,000 kila watu laki 7 Wana jimbo moja hii maana yake nini kwenye Muungano? Fursa za Mzanzibar ni Vyeo
account_circle
Bixen(@heisbixen) 's Twitter Profile Photo

ORODHA YA MARAIS WALIOUWAWA WAKIWA MADARAKANI DUNIANI

1. Abeid Amani Karume

Alikuwa Rais wa Zanzibar tangu mapinduzi ya mwaka 1964.

Aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa anacheza bao mwaka 1972 na Mwanajeshi, Luteni Hamud Mohammed Hamud

ORODHA YA MARAIS WALIOUWAWA WAKIWA MADARAKANI DUNIANI 

1. Abeid Amani Karume

Alikuwa Rais wa Zanzibar tangu mapinduzi ya mwaka 1964.

Aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa anacheza bao mwaka 1972 na Mwanajeshi, Luteni Hamud Mohammed Hamud
account_circle
(---) Onesmo Mushi(@EduTalkTz) 's Twitter Profile Photo

Lissu anauliza inakuwaje Zanzibar yenye wapiga kura chini ya laki tano ina majimbo hamsini na wabunge 80 JMT wakati jimbo moja la Ubungo lina wapiga kura wengi karibu mara mbili ya Zanzibar?

Hii document ya CIA hapa chini inasema maamuzi ya kuwapa Zanzibar viti vingi bungeni

Lissu anauliza inakuwaje Zanzibar yenye wapiga kura chini ya laki tano ina majimbo hamsini na wabunge 80 JMT wakati jimbo moja la Ubungo lina wapiga kura wengi karibu mara mbili ya Zanzibar? 

Hii document ya CIA hapa chini inasema maamuzi ya kuwapa Zanzibar viti vingi bungeni
account_circle