Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profileg
Wasafifm

@wasafifm

The official Twitter page for Wasafi FM #SendYourMusic to [email protected]

ID:942026498533478400

linkhttps://wasafimediagroup.co.tz calendar_today16-12-2017 13:39:54

16,4K Tweets

139,7K Followers

1 Following

Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania wameshiriki zoezi la kupanda miti katika eneo la Medeli jijini Dodoma.

Klabu ya Simba kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania wameshiriki zoezi la kupanda miti katika eneo la Medeli jijini Dodoma. #WasafiDigital
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Mwanzo wa msimu wowote mambo huwa ni mengi na ya kufurahisha.
Msimu wa 2023/24 ulikuwa na matukio mengi na hili ni moja wapo.

Simba Sc wao walizundua jezi zao za msimu huu katika kilele cha Mlima Kilimanjaro, tukio liliopongezwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Mwanzo wa msimu wowote mambo huwa ni mengi na ya kufurahisha. Msimu wa 2023/24 ulikuwa na matukio mengi na hili ni moja wapo. Simba Sc wao walizundua jezi zao za msimu huu katika kilele cha Mlima Kilimanjaro, tukio liliopongezwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. #WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Tetesi za msimu huu zisipoishia kuwa tetesi kama kawaida na wakafanikiwa kumtwaa Clatous Chama na kumvalisha uzi wa kijani, Unatamani kumuona Chama akiwa na Jezi namba ngapi pale Jangwani ?

Tetesi za msimu huu zisipoishia kuwa tetesi kama kawaida na wakafanikiwa kumtwaa Clatous Chama na kumvalisha uzi wa kijani, Unatamani kumuona Chama akiwa na Jezi namba ngapi pale Jangwani ? #WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao pamoja na Viongozi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia na Mwenyeji wao Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kikao pamoja na Viongozi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia na Mwenyeji wao Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Mei, 2024.
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya Mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Nchi hiyo Mhe. Emmanuel Macron tarehe 14 Mei, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya Mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Nchi hiyo Mhe. Emmanuel Macron tarehe 14 Mei, 2024
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

DONDOO ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TANZANIA

Mei 2024, Mwezi ambao Tanzania imezindua Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi (2024-2034). Lengo ni kuhakikisha kuwa ifikapo 2033/2034, 80% ya Watanzania kuwa na uwezo wa kupata nishati safi ya kupikia

DONDOO ZA NISHATI SAFI YA KUPIKIA TANZANIA Mei 2024, Mwezi ambao Tanzania imezindua Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi (2024-2034). Lengo ni kuhakikisha kuwa ifikapo 2033/2034, 80% ya Watanzania kuwa na uwezo wa kupata nishati safi ya kupikia #IkuluMawasiliano #IkuluTanzania
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Ni sifa gani zinafanya mtu kuwa Mwenyenchi na sifa gani zinamfamya mtu awe Mwananchi ?

Tuambie kwenye comment utofauti wa Mwenyenchi na Mwananchi

Ni sifa gani zinafanya mtu kuwa Mwenyenchi na sifa gani zinamfamya mtu awe Mwananchi ? Tuambie kwenye comment utofauti wa Mwenyenchi na Mwananchi #WasafiSports
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri anaeshughulikia Masuala ya Maendeleo ya Kimataifa wa Ufaransa Mhe. Chrysoula Zacharopoulou walipokutana Jijini Paris Ufaransa tarehe 13 Mei, 2024.
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Wizara ya Fedha imefanya semina na waandishi wa habari na kueleza kuwa huduma za fedha kwa wastaafu ni bure, Wiara ya Fedha haiombi fedha kwa wastaafu ili wapate huduma ya kulipwa mafao yao huduma hizi zinatolewa bure kabisa kwa mstaafu yoyote yule”

Wizara ya Fedha imefanya semina na waandishi wa habari na kueleza kuwa huduma za fedha kwa wastaafu ni bure, Wiara ya Fedha haiombi fedha kwa wastaafu ili wapate huduma ya kulipwa mafao yao huduma hizi zinatolewa bure kabisa kwa mstaafu yoyote yule”
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Wizara ya Fedha imefanya semina na waandishi wa habari na kueleza kuwa huduma za fedha kwa wastaafu ni bure, Wiara ya Fedha haiombi fedha kwa wastaafu ili wapate huduma ya kulipwa mafao yao huduma hizi zinatolewa bure kabisa kwa mstaafu yoyote yule”

Wizara ya Fedha imefanya semina na waandishi wa habari na kueleza kuwa huduma za fedha kwa wastaafu ni bure, Wiara ya Fedha haiombi fedha kwa wastaafu ili wapate huduma ya kulipwa mafao yao huduma hizi zinatolewa bure kabisa kwa mstaafu yoyote yule”
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mtoto Khaira Ali Jabir mara baada ya kuwasili Jijini Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia tarehe 12 Mei, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mtoto Khaira Ali Jabir mara baada ya kuwasili Jijini Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia tarehe 12 Mei, 2024.
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa tarehe 12 Mei, 2024. Rais Samia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa tarehe 12 Mei, 2024. Rais Samia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris
account_circle
Wasafifm(@wasafifm) 's Twitter Profile Photo

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris .

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris .
account_circle