Holy
@yose_hoza
Digital Manager | Media Strategic | Telecommunication Engineer
ID:3039495909
15-02-2015 19:26:56
385,2K Tweets
153,3K Followers
32,2K Following
Mambo π₯π₯π₯
Maagizo kutoka juu yanaelekeza Watanzania, na Wana Afrika Mashariki na Kati wote kuwa macho saa 6 usiku bila kupepesa, mjuze na mwenzio, Rais @officialalikiba amesema
Kaa karibu na kurasa zetu zote.
#HapaNiNyumbani #WanaWaHanuHanu
Chunya
Wakamilisha jengo la kuuza madini lengo kubwa ikiwa ni kuchenjua nchini na kuuza ili kuongeza pato la taifa #MamaYukoKazini
Leo Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa Ikulu ndogo ya Tunguu Zanzibar ameongoza kikao maalum kilichowasilisha ripoti ya maafa ya Mafuriko yaliyotokea sehemu mbalimbali nchini ikiwemo Rufiji, Morogoro, Lindi na Arusha.
#MamaYukoKazini
Mfahamu Chifu Mwami Thereza Ntare II
1. Chifu Mkuu wa Kwanza Mwanamke Tanzania akitokea Kigoma.
2. Raisi wa kwanza wa Machifu Tanganyika.
3. Msemaji na muwakilishi wa masuala ya Afrika ndani ya serikali ya Kikoloni.
#MwamiTherezaNtare
#HerStoryCoalition
UWEZO UPO!
Steam Generation Company Ltd ina uwezo wa kufanya minada ya umma na binafsi kwa ufanisi mkubwa.
Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi.
#SteamGeneration #MinadaYaUmma #MinadaBinafsi
Hello TFF TANZANIA wapeni Yanga ubingwa wa NBC na Mechi ya Tarehe 20 wapeni point tatu, I'm tired with this pain.
Sifa Za Chifu Tereza Mwami Ntare
Alikuwa Jasiri
Alikuwa na Fukuto
Alikuwa Mchapakazi
Alikuwa Mwenye Maadili Mema ya Kitanzania
Yote kwa Yote Alikuwa Mwanamke Mrembo sana na Mwenye Heshima
#MwamiTerezaNtare
#HerStoryCoalition