Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
@zittokabwe
Member and former Party Leader @ACTWazalendo, Tegadalay ተጋዳላይ #HifadhiJamii #Ajira #MaishaNafuu #TheFutureIsPurple #Tanzania #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ID:119385045
http://www.actwazalendo.or.tz 03-03-2010 13:48:48
157,5K Tweets
1,7M Followers
4,9K Following
Kiongozi wa Chama Mstaafu, Ndugu Zitto MwamiRuyagwa Kabwe kesho asubuhi atakuwa kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Clouds fm.
Usiwache kufuatilia.
ACTWazalendo
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
UHALALI KISHERIA v UHALALI KISIASA
#NECijiuzulu #INECiingie
Kuanzia keshokutwa tarehe 12 April 2024 Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi inaanza kutumika kwa mujibu wa GN no. 225 ya 29 Machi, 2024. Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
#NECIjiuzuru #INECiingie
UHALALI KISHERIA v UHALALI KISIASA
#NECijiuzulu #INECiingie
Kuanzia keshokutwa tarehe 12 April 2024 Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi inaanza kutumika kwa mujibu wa GN no. 225 ya 29 Machi, 2024. - Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
#NECijiuzulu ili #INECiingie
'Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi ambao utasimamiwa kinyume cha sheria; na sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inataka itungwe Sheria ya Kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.'
Waziri Mkuu Kivuli wa ACTWazalendo
Isihaka Mchinjita
#NECijiuzulu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Hatua hii iliyokuja kwa kuchelewa tena baada ya kukumbushwa iambatane na tathmini ya kına ya hasara iliyosababishwa na kuachiwa maji JNPH Kuelekea maeneo haya. Serikali haipaswi kuepa uwajibikaji na kuweka misingi imara ya kudhibiti majanga zaidi. #Warufijiwafidiwe #Wajibikeni
UHALALI KISHERIA v UHALALI KISIASA
#NECijiuzulu #INECiingie
Kuanzia kesho tarehe 12 April 2024 Sheria Mpya ya Tume Huru ya Uchaguzi inaanza kutumika kwa mujibu wa GN no. 225 ya 29 Machi, 2024.
Endapo masharti ya Kifungu cha 5 cha Sheria ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi…
Mtu kaharibikiwa na shamba la kumlisha yeye na familia yake kwa mwaka mzima, unapompa kilo mbili tatu za unga hujamsaidia kitu. Sisi ACTWazalendo kupitia Waziri Mkuu Kivuli, Isihaka Mchinjita, tumetaka Serikali itoe fidia stahiki badala ya kile inachokiita msaada.
#Mafuriko
#Rufiji
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe asisitiza vigogo wa NEC wang'oke, wapishe utaratibu mpya wa uundwaji wa Tume Huru ya Uchaguzi.
ACTWazalendo Wasemaji wa Kisekta
#NECijiuzulu
#TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Mtu kaharibikiwa na shamba la kumlisha yeye na familia yake kwa mwaka mzima, unapompa kilo mbili tatu za unga hujamsaidia kitu. Sisi ACTWazalendo kupitia Waziri Mkuu Kivuli, Isihaka Mchinjita, tumetaka Serikali itoe fidia stahiki badala ya kile inachokiita msaada.
#Mafuriko
#Rufiji