Balyx
@Balyx_
On 18th of December 2022, I witnessed MESSI WINNING A WORLD CUP☝️ Messi, Martial, FDJ
ID:1229683405358608386
18-02-2020 08:26:00
191,3K Tweets
140,6K Followers
5,9K Following
🚨 M A T C H D A Y 🚨
🆚 Namungo FC
🏆 CRDB Federation Cup
®️ Quarter Final
🏟 Azam Complex
🕰 8.30 PM (E.A.T)
#weareazamfc #timuborabidhaabora
Binti Mpole leo anauliza,Ni umri gani sahihi kwake kupata elimu kuhusu hedhi?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip Femina Hip
Binti Mpole leo anauliza, Ni umri gani sahihi kwake kupata elimu kuhusu hedhi?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip Femina Hip
Tunaelekea kuzuri muhimu utekelezaji ufanyike.
Na usimamizi wa hizo hela ndo muhimu kusiwe na upigaji tena
#DiraYaSamia
Hizi hela Kama zikifikia walengwa kweli, Matokeo yakilimo yatakuwa makubwa Sana.
#DiraYaSamia
Azma ya Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ni nzuri. Ombi langu,bajeti hiyo ikiidhinishwa, usimamizi mzuri uwepo, maana tumeshuhudia ubadhilifu mkubwa katika miradi mbali ambayo inasababisha miradi hiyo kusimama au kufa kabisa.
#DiraYaSamia
Wizara ya Kilimo inaomba kuidhinishwa kwa bajeti ya Kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 kiasi cha Shilingi 1,248,961,680,0001/= itakayoenda kutekeleza miradi mbali mbali ikiwemo miradi ya umwagiliaji na mbolea za ruzuku hususan kwa wakulima wa zao la Parachichi.
#dirayasamia
Kuongeza Tija katika Kilimo, Kutimiza Azma ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya Kulilisha Taifa na kulisha Dunia kibiashara kupitia #ajenda1030 #DiraYaSamia