Tumeingia kwenye wiki mpya ndani ya mwezi wa hedhi salama,na tupo tayari kujibu maswali yako yote!
Jiunge nasi kwenye majadiliano yenye majibu juu ya maswali yote yaliyoulizwa kuhusiana na hedhi.
Cc.@feminahip
#feminahip #redagenda #mhm2024
๐ El Gobierno de Canarias ha lanzado la 'Agenda DIScomplicada', un cuaderno diseรฑado para la comunidad educativa que promueve los Objetivos de Desarrollo Sostenible (ODS).ย
๐ www3.gobiernodecanarias.org/noticias/el-goโฆ
#AgendaCanaria2030 #Sostenibilidad #Educaciรณn #ODS #CanariasSostenible
Bi Mkubwa anasema sio sahihi kwa Baba kujihusisha na masuala ya hedhi kwa mtoto wa kike.
Je unafikiri kauli ya Bi Mkubwa ni sahihi?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Binti Mpole anauliza, Ni njia zipi anaweza kutumia kupunguza mabadiliko ya hisia wakati wa hedhi?
#redagenda #mhm2024 #feminahip
Cc Femina Hip
Binti Mpole leo anauliza, Je ni sahihi kuzungumzia masuala ya hedhi ndani ya jamii zetu?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Binti Mpole anauliza, Ni njia zipi anaweza kutumia kupunguza mabadiliko ya hisia wakati wa hedhi?
#redagenda #mhm2024 #feminahip
@feminahip
Binti Mpole leo anauliza, Hivi mara ya mwisho boyfriend wako kukununulia pedi ni lini?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip
Bi Mkubwa anasema sio sahihi kwa Baba kujihusisha na masuala ya hedhi kwa mtoto wa kike.
Je unafikiri kauli ya Bi Mkubwa ni sahihi?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Bi Mkubwa anasema sio sahihi kwa baba kujihusisha na masuala ya hedhi kwa mtoto wa kike.
Je unafikiri kauli ya Bi Mkubwa ni sahihi?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Mie nikiingia kwenye siku zangu naona ndo napata sana mzuka wa kutaka kukutana na shemeji yenu๐ค.
sasa leo binti mpole amenisaidia kuuliza ni njia zipi zinazoweza kusaidia kupunguza mabadiliko ya hisia wakati wa hedhi???
Cc Femina Hip
#redagenda #mhm2024 #feminahip
Binti Mpole leo anauliza, Eti ni vibaya boyfriend wako kukununulia pedi?
Femina Hip
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip
Binti mpole leo anauliza, Yeye anaingia hedhi mara mbili Kwa mwezi tena zinapishana kwa siku chache tu, Je hilo ni tatizo au kawaida?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Cc Femina Hip
Binti Mpole leo anauliza, Ni umri gani sahihi kwake kupata elimu kuhusu hedhi?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip Femina Hip
Bi Mkubwa anasema sio sahihi kwa baba kujihusisha na masuala ya hedhi kwa mtoto wa kike.
Je unafikiri kauli ya Bi Mkubwa ni sahihi?
#feminahip #redagenda #mhm2024
Cc Femina Hip
Binti Mpole leo anauliza, Hivi mara ya mwisho boyfriend wako kukununulia pedi ni lini?
Femina Hip
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip
Binti Mpole anauliza, Ni njia zipi anaweza kutumia kupunguza mabadiliko ya hisia wakati wa hedhi?
#redagenda #mhm2024 #feminahip @feminahip
Binti Mpole leo anauliza, Ni umri gani sahihi kwake kupata elimu kuhusu hedhi?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip Femina Hip
Binti Mpole leo anauliza,Eti ni vibaya boyfriend wako kukununulia pedi?
Femina Hip
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip
Binti Mpole leo anauliza,Ni umri gani sahihi kwake kupata elimu kuhusu hedhi?
#RedAgenda #MHMDay2024 #feminahip Femina Hip