Hilda Newton
@HildaNewton21
●MWANDISHI WA HABARI,
●MWENYE KITI BAVICHA (M) TEMEKE,
●RAIS WA TANZANIA 2045.
ID:2673303382
04-07-2014 21:16:48
272,8K Tweets
850,1K Followers
1,4K Following
🚨🚨 #Tanzania 🚨 Nyamongo, Tarime #ExtrajudicialKillings
10 April 2024
Firebrand politician John Heche told how Sylvester Nyangige was shot down for so called trespassing on the property of North Mara Mining
Police had denied Sylvester was shot there however we will provide…
Mhe. Tundu Antiphas Lissu anasema wafanyakazi waache kuomba/kutaka awasemee kuhusu kikokotoo wakati wafanyakazi wana vyama vya wafanyakazi maana kuomba wasemewe ni kutotambua wajibu wao.
“Wafanyakazi acheni kuwa ombaomba!” 😃😃
Tundu Antiphas Lissu anasema kutaka awasemee kikokotoo wafanyakazi wakati wana vyama vya wafanyakazi ni kutotambua wajibu wao
youtube.com/live/kLeRR2NGD…
Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) Bara Mhe. Tundu Lissu akiongoza Maandamano ya Amani yanayofanyika katika Makao Makuu ya Mkoa wa Manyara yaliyopo jimbo la Babati Mjini leo ijumaa Aprili 26, 2024.
#MaandamanoyaAmani
TAZAMA: youtube.com/watch?v=kLeRR2…
Wenye mamlaka nchini wanaweza kutumia nafasi zao kufanya utekaji na si kwa sababu za kisiasa tuu hata kwa sababu binafsi. Bila ya #KatibaMpya hakuna aliye salama. — Mohamed Kabiliga #WenyeNchiWananchi VIDEO : bit.ly/3QcVqys