John Heche
@HecheJohn
Member of chadema central committee. Former Member of Parliament ,Tarime rural constituency 2015- 2020.
ID:558686364
https://en.wikipedia.org/wiki/John_Heche 20-04-2012 12:45:14
78,4K Tweets
735,5K Followers
1,4K Following
‼️Aliyoyasema 2017 Tundu Antiphas Lissu alipokuwa Rais wa Tanganyika Law Society(TLS) kuhusu utawala wa sheria na alieleza hata Rais hayuko juu ya Katiba /sheria! Alisema dawa ni kumpeleka mahakamani 👏🏽
Baada ya miezi kadhaa walimmiminia risasi zaidi ya 30
Tundu Lissu has always been courageous…
Mchana huu Kikao cha Kamati Kuu ya Chama kikiwa kimerejea baada ya mapumziko ya chakula cha mchana. Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe .
Mchana huu Kikao cha Kamati Kuu ya Chama kikiwa kimerejea baada ya mapumziko ya chakula cha mchana. Kikao hicho kinaongozwa na mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe .
Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiomba dua kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu kwenye ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam, leo Mei 11, 2024. 📸 Michael Matemanga.
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
Hapa ni mbele kidogo ya kitasengwa njia kuu ya kuelekea mgogolo -mafinga, Magari yamekwama takribani wiki, Barabara ni mbaya kuwahi kutokea. Mbunge wake ni David Mwakiposa Kihenzile ambaye pia ni naibu waziri wa uchukuzi. Tukisema ccm kitu pekee wanaweza ni wizi wa kura na mali za umma
#TANZANIA : Tundu Antiphas Lissu akinukisha jimboni kwa Waziri George Simbachawene, aivaa vikali Serikali ya Chama Cha Mapinduzi Kibakwe Wilaya ya #Mpwapwa , aitaka #KatibaMpya ili kubadirisha mifumo ya uendeshaji wa Serikali na utoaji haki kwa Wananchi.
Zaidi: youtu.be/h3yAIx5G_RI
📍VIDEO:
'Hapa Kibakwe mna Mbunge ambaye ni Waziri tena wa Usalama wa Taifa lakini hela za miradi ya maji zimepigwa' Tundu Antiphas Lissu Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara
Makamu Mwenyekiti Bara Tundu Antiphas Lissu akipokea zawadi ya Mbuzi kutoka kwa wananchi wa Kata ya Chitemo Jimbo la Mpwapwa alipofika kufanya mkutano wa hadhara asubuhi ya leo Mei 9, 2024 na jioni anatarajia kufanya mkutano Jimbo la Kibakwe.