Timu ya soka ya wavulana wasiozidi miaka 16 ya Kapenguria Youths ina matumaini ya kungáa kwenye siku za usoni.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Watu 45 wamedhibitishwa kufa maji usiku wa kuamkia leo baada ya eneo mithili ya bwawa mkabala na reli ya nairobi naivasha kupasuka eneo la maaimahiu kaunti ya nakuru huku makumi ya wengine wakijeruhiwa na mafuriko hayo.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Waziri wa usalama wa ndani Kithure Kindiki ameagiza ukaguzi wa mara moja wa mabwawa yote ya umma na ya kibinafsi chini ya masaa 24.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Je, una swali gani ambalo ungetaka Ali Kauleni Hassan amuulize Andrine Kilemi kwenye #BahariyaElimu ? #Radio47 #HapaNdipo
Wanafunzi wanapotarajiwa kurejea shuleni siku ya kesho wazazi wameibua hofu kuhusu usalama wa wanao msimu huu mvua ya inayoendelea kuharibu mali na kuadhiri shughuli mbalimbali.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
Baadhi ya walimu wa shule ya sekondari msingi katika kaunti kadhaa hii leo wamefanya maandamano kushinikiza serikali kuheshimu uamuzi wa mahakama kwa kuhusu masharti yao ya ajira.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Idadi ya maafa kufuatia janga la mafuriko eneo la Maai Mahiu inasalia kuwa kama hadithi ya riwaya kwa wale walionusirika tukio hilo la usiku wa manane baada ya mafuriko ya kutamausha.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi Moige William
Viongozi wa bara la afrika wanayataka mataifa yaliyostawi kufadhili riba ya chini ya mikopo inayotolewa na benki ya dunia kwa mataifa yanayostawi ili kuyawezesha kufanikisha miradi ya maendeleo na kukabili mabadiliko ya tabianchi.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Polisi wa trafiki mjini Naivasha alipokea kichapo cha mbwa kutoka kwa umma baada yake kumgonga mwananchi kwa pingu kwenye eneo la ajali baada ya majibizano kwa kulaumiwa kwa utepetevu wa kuchukua mwili wa marehemu.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi - EACC imekiri kuwa inakabiliwa na idadi kubwa ya kesi za ufisadi ambazo inachunguza, na kwa sasa kuna kesi 1,200.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini, miundombinu inaendelea kuharibiwa huku maafa yakizidi kuongezeka.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
Waziri wa kilimo Mithika Linturi amepuzilia mbali mchakato wa kumbandua afisini ambao unaendelezwa na mbunge wa bumula wanami wamboka na baadhi ya wabunge.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
Tunakupa fursa murwa ya kushinda Airtime hii leo kwa kujibu swali lifuatalo: Je, Ali Kauleni Hassan atakuwa anakuletea vipindi vipi ndani ya #Radio47 ? #HapaNdipo Andrine Kilemi
NAIROBI’S FLOOD WATCH
Section of Nairobi residents displaced following heavy downpour
Those in informal settlements face health risks
Motorists face difficulties on the Nairobi roads
Victor Muyakane
Linda Alela
Andrine Kilemi
#DailyReport
Siasa za sakata ya mbolea bandia zinaendelea kuchacha, mirengo yote miwili ya kisiasa ikitofautiana kuhusu iwapo waziri wa kilimo Mithika Linturi atabanduliwa au la.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi
KERO YA MAFURIKO NAIROBI
Mvua ya masika yazidi kuwa kero Nairobi
Wakaazi wamesalia kuhama kufuatia mafuriko
Shughuli za uchukuzi pia zimetatizika jijini
lizah mutuku
Andrine Kilemi
#UkumbiWaSiasa
#UpeoWaTV47
Asad Anwar ndiye bingwa wa makala ya sita ya mashindano ya magari ya Rallycross yalilyoandaliwa katika uwanja wa Kasarani super spectator mjini Nairobi.
#UpeoWaTV47
Andrine Kilemi
Kariobangi Sharks na AFC Leopards zimefuzu kwa nusu-fainali ya kombe la FKF kufuatia ushindi wao mtawalia wa 1kwa 0 na 3 kwa 1 katika mchuano wa robo fainali.
#TV47Wikendi
Andrine Kilemi