Malembo Farm
@MalemboFarm
Prominent Agribusiness firm in East Africa, HQ in 🇹🇿🇰🇪 |Agribusiness consulting| Sustainable Agriculture| Community Development| Dedicated to #UNSDGs
ID:3368293168
http://www.malembofarm.com 09-07-2015 20:00:34
25,4K Tweets
19,5K Followers
955 Following
Kheri ya siku ya rafanyakazi rafiki ndugu na jamaa isipokuwa Kipepe maana siyo mfanyakazi wala siyo mkulima kiufupi hana siku maalumu ya kupongezwa maana hakuna siku ya kitaifa ya kutembeza CVs. Malembo Farm Academy
Shemeji yangu salama?,nafikiri ungejipa muda baada ya “space” useme tulikuwa tunachambua au tunaielezea, Mimi binafsi nafurahi kwamba mnaleta changamoto kwenye huu mjadala kimsingi ndiyo maana ya mijadala. #KilimoNiAjira
#KilimoTips
Kwa bahati mbaya sana huwa tunazungumza na wafanyakazi wa Tanzania wanaotarajiwa kustaafu wakati wa mwishoni kwao kuhusu mambo ya maana sana kuwahusu wao kama hili la Kilimo biashara. Natamani pengine iwepo sera na taratibu za kuzungumza na wafanyakazi wapya mahali…
Good Morning Africa.
Tofauti ya kulea watoto kwenye Nchi za kibepari na kijamaa ni tofauti kubwa. Malembo Farm Academy
Ukweli ni kwamba Ndugu yangu Kipepe hawezi kunywa Maziwa ya Gamia hiyo pesa hana. Malembo Farm Academy
Kila la kheri kwako brother Hussein M Bashe katika uwasilishaji wa mpango na makadirio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha 2024/2025.
Wizara ya Kilimo
#BajetiYaWakulima #LishaTaifaLishaDunia
Kuna Mzee mmoja alikuja kupika Maji kwenye shamba langu la Horohoro-Tanga akawa anatumia mfumo huo kuangalia maji yapo sehemu gani Aloo! #KilimoNiAjira
Malembo Farm International