MalisaGJ
@MalisaGJ_
Award winning Philanthropist || SBC Specialist || Human Rights Activist || Simba SC Die Hard Fan
ID:1035306942418309121
30-08-2018 23:23:05
243 Tweets
22,8K Followers
61 Following
Anaandika kaka mkubwa Dr.Chris Mauki. PhD (PhD)
__________
Kundi la maprofesa waliitwa kupanda ndege. Milango ilipofungwa maprofesa wote walifahamishwa kuwa ndege hiyo imetengenezwa na wanafunzi wao. Maprofesa wote wakakimbilia kwenye mlango wa ndege wakiomba kushuka. Isipokuwa…
Tumepata wasaa mzuri wa kuwapongeza watoto (yatima) waliohitimu kidato cha nne mwaka jana, ambao ni miongoni mwa watoto zaidi ya 100 tunaowasomesha kupitia #GHFoundation . Hawa watatu wamemaliza kidato cha nne na wote wamepata ufaulu mzuri kama ifuatavyo;
1. Magreth Joseph DIV 1…
Mradi wa Maji wa Same-Mwanga- Korogwe wenye zaidi ya Shilingi Bilioni 300 upo asilimia 85. 7 ya utekelezaji wake unatarajiwa ifikapo Juni, 2024 unaanza kutoa huduma kwa wakazi wa Wilaya ya Same na Mwanga.
#MiakaMitatuYaMama
#MamaAnafanikisha
#MamaYukoKazini