Report ya World Press Freedom ya leo tar 03/5/2024 imeonyesha Tanzania imefanya vizuri KUHESHIMU UHURU wa habari Duniani.
Imepanda toka nafasi 143 Mwaka 2023 kidunia hadi nafasi 97 Mwaka 2024. ๐น๐ฟ imepanda kwa nafasi 46 na kuziacha nyuma nchi zote za A.mashariki.
#mamayukokazini
Serikali imeongeza Bajeti ya dharura ya TARURA kutoka bilioni 21 mpaka bilioni 131, na Bilion 350 zimeogezwa maalumu kwaajili ya ukarabati wa Barabara.
#mamayukokazini
#MamaAnafanikisha
Serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuhakikisha kwamba mazingira ya sekta ya elimu yanakuwa mazuri na salama.
#mamayukokazini
#MamaAnafanikisha
๐๐๐ญ๐ฎ ๐ก๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐, ๐ฅ๐๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ณ๐๐ข๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐
๐๐๐๐ anawaonesha kazi ya ujenzi wa vivuko vitano vitakavyotatua adha ya usafiri, kuimarisha usalama kwa wananchi na kuongeza kasi ya ufanyaji shughuli za kiuchumi na kujamii Kanda yaโฆ
๐๐
๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐
#MamaYukoKazini
Ujenzi wa madarasa na shule mpya nchini umechangia kuwa na ongezeko la uandikishaji wa wanafnzi wa darasa la kwanza.
#mamayukokazini
#MamaAnafanikisha
Baba wa Taifa alisema zambi ya ubaguzi haifi inaendelea.
Ndio maana tunawaona CHADEMA wanaendelea kurumbana wao kwa wao hayo ni matokeo ya zambi ya ubaguzi.
#mamayukokazini anaendelea kumarisha muungano
Rais Dkt. Samia ni Kiongozi wa vitendo na sio maneno.
๐๐๐๐ anawaonesha kazi ya ujenzi wa vivuko vitano vitakavyotatua adha ya usafiri, kuimarisha usalama kwa wananchi na kuongeza kasi ya ufanyaji shughuli za kiuchumi na kujamii Kanda ya Ziwa.
#MamaYukoKazini
Watanzania bado tunaishi na hii kauli ya hawa viongozi wawili wa CHADEMA walisisitiza kuwa watanzania tuendelee kushirikiana na Rais Samia Suluhu maana ni nguli wa Maridhiano
Watanzania wote tunaunga mkono na tutaendelea kushirikiana na Rais Samia mpaka 2030 #mamayukokazini
๐RAIS SAMIA AMEBADILISHA UPEPO WA KISIASA
Tundu Lissu akieleza mageuzi ya kisiasa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu
Anachokisema Lissu ndio ukweli na haupingiki na wala hawezi kupingana na ukweli huu
#MamaYukoKazini
SERIKALI ITAENDELEA KUTEKELEZA FALSAFA YAKE YA 4R
Falsafa hii inalenga kukuza mshikamano wa kitaifa na kusisitiza kuwa maridhiano ya pamoja na kujenga masikilizano kutatuwezesha kupanga kwa pamoja na kutekeleza mipango ya maendeleo.
#MamaYukoKazini