Daktari Wa Manesi ๐๐
@McinikaWaLamar
Social Media GURU | Thinker Tank | Content Creator
ID:2341919865
13-02-2014 19:51:32
222,4K Tweets
757,1K Followers
1,8K Following
Follow People
Je Wajua.
Binaadamu Tajiri zaidi kuwahi kutokea Duniani alikua ni Muafrika (Mansa Musa) akitokea Mali inakadiriwa alikua na utajiri wa Dollar billion 400.
#ElimikaWikiendi
Je Wajua
Ubongo wa Binaadamu unauwezo wa Kutunza,Kuhifadhi Taarifa maratano (5) zaidi ya WฤฐKฤฐPEDฤฐA.
#ElimikaWikiendi
Ujenzi wa nyumba nzuri unatokana na uchoraji wa ramani kali zenye ubunifu wa hali ya juu.
Karibu ARCHONLY STUDIO wakuchoree ramani za kisasa za majengo ya aina mbali mbali. Pia utapata na ushauri wa masuala ya ujenzi.
Office : Lufungila, Mwenge
๐ณwa.me/255682974877
Je Wajua
Mchezaji mpira wa miguu Cristiano Ronaldo amekataa kuchora tattoo yoyote kwenye mwili wake ili tu aendelee kuchangia Damu kwa wenye uhitaji..Mtu wa maana kabisa huyu.
#ElimikaWikiendi
๐ง๐ข๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ฅ๐จ๐ ๐๐ข๐ก ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
08/09 ๐ฌ๐๐๐ฅ.
1790 ๐๐ก๐๐๐ก๐ ๐ฆ๐๐ญ๐.
56,899 ๐ ๐๐๐๐๐๐ โ
Pearly White Color.
Fog light ๐ก
Full Body Kits.
Sport Rims : New Tires ๐
Back Camera.
Android Music System.
๐ฃ๐ฅ๐๐๐ : 20,000,000
Chaji simu weka bando kesho usikose kuungana na ๏ฃฟ ๐๐ข๐๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ญ๐ฎ ๐๐โข kuanzia saa 3:00 asubuhi kwenye 10 za Je wajua kwenye jukwaa la #ElimikaWikiendi
Shirika la Posta Tanzania sasa Linafanya kazi Nchi nzima kwa sasa Limemua kwenda na Kasi ya teknolojia usipate shida Posta tupo..Tuma mzigo Fasta upoke Mzigo Fasta na Posta.
#ChukuaFungashaFikisha
Kesho kwenye #ElimikaWikiendi Kwenye 10 za Je Wajua nitakuepo Ndugu yenu wa maana kabisa.
Usipange Kukosa.!!
Utachagua mwenyewe uingie road au usubiri kuletewa hesabu ๐ฐ
Lipa bili zako zote na CRDB Simbanking ujiongezee nafasi ya kushinda zawadi ya bodaboda, bajaji au hata ndinga aina ya Nissan Dualis
Piga *150*03# au Pakua SimBanking App Play Store au App Store,
#SwahibaLanguLako
Wazalendo Posta Tanzania wamekuja na mabadiliko makubwa katika sekta ya usafirishaji. Sasa kutuma mizigo kumekuwa rahisi, haraka, na ya kuaminika zaidi kuliko wakati wowote. Karibu kwenye safari mpya ya kutuma mizigo na posta.
#ChukuaFungashaFikisha
Shirika la Posta Tanzania sasa Linafanya kazi Nchi nzima kwa sasa Limemua kwenda na Kasi ya teknolojia usipate shida Posta tupo..Tuma mzigo Fasta upoke Mzigo Fasta na Posta.
#ChukuaFungashaFikisha