Mr Health๐๐
@Mkunga_Og
Midwife || A nutritionist || A Counselor || Psychological therapy || Sexual health & Reproductive expert. ๐ง
ID:1196394736556359686
https://t.me/mrhealth 18-11-2019 11:51:47
28,2K Tweets
59,3K Followers
1,0K Following
Magonjwa Hatari na yanayo epukika kwa kuzingatia ushauri wa kiaafya.
SHARE FOR LOVE EACH OTHER HEALTH..๐ฉบ
๐๐ฝ Malaria.
๐๐ฝ Kifua kikuu (TB).
๐๐ฝ Hepatitis B na C.
๐๐ฝ Ukimwi.
๐๐ฝ Kipindupindu.
๐๐ฝ Saratani (Cancer)
๐๐ฝ Kisukari. (D iabetes)
๐๐ฝ Shinikizo la damu (Blood pressure)โฆ
'Miaka ya 80 1% tu ya watanzania ilikua na ugonjwa wa kisukari na 4% tu ilikua na shinikizo la juu la damu
Hivi sasa Ugonjwa wa kisukari unaathiri asilimia 25% ya watanzania, 9% changamoto ya shinikizo la juu la damu.' - Mh. Dkt. Philip Isdori Mpango, Makamu wa Rais
#MtuNiAfya
Mr Health๐๐ Jinsi ya Kupata Uume Mkubwa na wa Kati๐๐ป
Ongeza haya kwenye lishe yako:
Ndizi ๐
Vitunguu saumu ๐ง
Machungwa ๐
Pilipili
Chokoleti nyeusi ๐ซ
Kuna faida kadhaa za kula ndizi kila siku. Mojawapo ikiwa ni kuwa na kiasi kikubwa cha potasiamu,
Inapunguza kuvimba, kupambana naโฆ
Mr Health๐๐ Ukweli ni kwamba, kila mwanamke ana mahitaji yake
binafsi ya kihisia na kimwili katika tendo la ndoa.
Stamina na ukubwa wa uume vinaweza kuwa
sehemu ya furaha, lakini sio kila kitu.
Ushawishi mkubwa unatoka kwenye jinsi ya kumgusa na kumridhisha mwanamke kwa njia tofauti.โฆ