KBC Radio Taifa
@RadioTaifaFM
Ukurasa Rasmi wa KBC Radio Taifa. Stesheni ya shirika la utangazaji nchini KBC, Inayoongoza kwa vipindi komavu na watangazaji wenye tajriba.
ID:1410105788
https://radiotaifa.kbc.co.ke/ 07-05-2013 12:11:20
87,3K Tweets
67,4K Followers
1,0K Following
Spika wa Bunge la taifa Moses Wetang'ula ameidhinisha hoja ya kutaka kumtimua waziri wa Kilimo Mithika Linturi
#KBCRadioTaifa ^FN
Wale wote wanaishi kando ya mito tunawapatia masaa 48 kutoka kesho wawe wametoka kwa sababu vile ambavyo mambo yanaendelea, tutazidi kuwa na mvua na mafuriko - Ruto
#KBCRadioTaifa
Wakenya 169 wamefariki kutokana na mafuriko kufikia sasa, haya ni kulingana na taarifa kutoka wizara ya usalama wa taifa
#KBCRadioTaifa ^FN
Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta aahidi mchango wa shilingi Milioni 2 kwa shirika la msalaba Mwekundu humu nchini ili kuimarisha juhudi zao za kutoa misaada.
#KBCRadioTaifa ^FN
Idara ya utabiri wa hali ya anga imetahadharisha umma kuhusu mvua kubwa itakayonyesha katika baadhi ya maeneo jijini Nairobi leo.
#KBCRadioTaifa ^FN
Beki fundi wa klabu ya Chelsea Raia wa Brazil Thiago Silva amethibitisha kwamba ataondoka klabuni hapo mwishoni mwa msimu huu.
#KBCRadioTaifa ^FN
Watu 45 wamethibitishwa kufariki kufikia sasa huku wengine wakijeruhiwa vibaya kufuatia mafuriko katika eneo la Mai Mahiu, kaunti ya Nakuru. Shughuli za kutafuta miili zinaendelea
#KBCRadioTaifa ^FN
Kawaida ni kama sheria. Sheria ni #ReggaeVibesKbc jumatatu edition 2pm -4pm. Ama vipi bossi wangu.. #ReggaeMusicSoNice
Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja amesema uongozi wa kaunti umeanza zoezi la kuwarejeshea nauli wanafunzi ambao wamekwama katika stendi mbali mbali za mabasi kurudi makwao baada ya serikali kuahirisha tarehe ya kufunguliwa kwa shule.
#KBCRadioTaifa ^FN
Mojawapo ya miradi ambayo nchi yetu inashirikiana na IDA kuitekeleza ni ile inayolenga kupunguza msongamano na kuboresha barabara za Jiji la Dar es Salaam ikiwemo ujenzi wa Kijazi Interchange na njia za Mabasi ya Mwendokasi - Samia Suluhu
#ida21work #IDA21nairobi