James Mbugua
@iamjamesmbugua
Believe of Positive Energetic Living life Unapologetically 🧡
ID:1203943018115538944
09-12-2019 07:42:58
29,3K Tweets
8,1K Followers
7,2K Following
Ukeketaji wakithiri Samburu:
Twakwimu zaonesha 75% ya wasichana wamepashwa tohara.
Wakereketwa waitaka serikali kuwachukulia hatua wahusika.
Wasichana wengi hukeketwa wakati wa likizo na kuozwa
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
#HabariZaSasa
Serikali ya Kaunti ya Nairobi inasema itashirikiana na waekezaji wa kibinafsi kujenga hoteli na eneo la burudani kwenye Bustani ya Uhuru ambayo imefunguliwa kwa umma.
#MaishaNiBoraZaidi
#RadioZaidiYaRadio
#MwendenClemmoKonnect
Mfumo ghali wa bima ya afya:
Wabunge waghadhabishwa na ununuzi wa mfumo mpya.
Kimtai: Mchakato wa kununua mfumo wa otomatiki unaendelea.
Mfumo mpya wa bima ya SHIF utagharimu shilingi bilioni 4
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Staarabika na @nyoshgathu kutoka saa nne asubuhi hadi saa sita mchana. #Staarabika #MaishaNiBoraZaidi #RadioZaidiYaRadio
Elimu ya watoto maalum Narok:
Chama cha walimu chatia saini mkataba na TSC.
Walimu wanaofunza watoto wenye mahitaji maalum.
Walimu kuhamishwa katika awamu tatu nchini
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu