Mwanaisha Chidzuga - Naibu Msemaji wa Serikali: Sisi kama serikali tukona mabaraza ya umma ya kuelimisha, kujenga ufahamu, kuwafahamisha watu kuhusu mafuriko lakini hatuwezi kufanya hili peke yetu
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Mustakabali wa afya:
Jaji Byram Ongaya awaongeza muda madaktari
Madaktari na serikali wameongezwa siku mbili
Pande hizo zilikosa kuafikia mkataba wa kurejea kazini
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Mafuriko yaharibu barabara:
Kamati ya bunge yatathmini hali eneo la Mwea
Barabara na madaraja kadhaa yamesombwa na mafuriko
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Maoni ya wakazi wa Makueni kuhusu janga la mafuriko nchini
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Hasara ya mafuriko Merti:
Zaidi ya nyumba 1,200 zimesombwa na maji Isiolo
Shughuli za uchukuzi zimekwama barabara zikikatika
Wakazi wanahofia ukosefu wa chakula Merti
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Utata wa Kwale-Taita Taveta:
Kaunti ya Taita Taveta yaanza kutoza ushuru mpakani.
Wafanyabiashara wanalalamikia hatua hii
#SemaNaCitizen Nimrod Taabu
Janga la mafuriko nchini:
Dkt. Dhadho Godana - Gavana, Tana River: Serikali za kaunti zinafanya vyema sana inapokuja suala la fedha za dharura #SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Mauaji ya wakongwe Kilifi:
Kampeni ya kuhamasisha jamii inaendelea Kilifi
Mauwaji ya wazee kwa madai uchawi yamekithiri
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Japheth Mang'oka - Waziri Wa Mipango Maalum, Makueni: Serikali kuu haihusishi serikali ya kaunti inapokuja suala la usaidizi. Huenda serikali kuu kuwapa wananchi chakula, au dawa lakini serikali ya kaunti haihusishwi #SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Mwanaisha Chidzuga - Naibu Msemaji wa Serikali: Tunapaswa kuacha kuweka siasa kwa kila jambo sababu Mkenya ndio anaathirika #SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Waathiriwa wa mafuriko Kabete:
Mawaziri wawatembelea waathiriwa Kabete
Waathriwiwa wameahidiwa usaidizi wa serikali
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Miili 2 zaidi Mai Mahiu:
Waliofariki kwenye mafuriko Mai Mahiu wafikia 60
Miili 2 zaidi imepatikana kwenye matope
Watu 23 kati ya 112 wangali hospitalini
Ibada ya wafu kufanyika siku ya Alhamisi
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Maoni ya wakazi wa Samburu kuhusu janga la mafuriko nchini
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Wafungwa huru Turkana:
Wakenya 32 wa jamii ya Turkana wameachiliwa huru
Watu hao walikuw awamefungwa jela Uganda
#SemaNaCitizen Mashirima Kapombe
Ubomoaji Bungoma:
Kaunti ya Bungoma yabomoa jengo kando ya uga
Uga wa Masinde Muliro kupanuliwa eneo la Kanduyi
Gavana Wangamati alalamikia ubomoaji
#SemaNaCitizen Rashid Abdalla
Peter Murgor - Meneja, Shirika La Msalaba Mwekundu: Pasipo kuwa na mikakati mwafaka wa kudhibiti maradhi, hali ya kujisaidia na kupata maji masafi, mkurupuko wa maradhi utakuja #SemaNaCitizen Rashid Abdalla