Kubwa Lao(@Its_Fik) 's Twitter Profileg
Kubwa Lao

@Its_Fik

Better Days Are Comming๐Ÿ’ฑ

ID:1403084443577950214

calendar_today10-06-2021 20:20:08

72,7K Tweets

25,5K Followers

6,9K Following

Mahmud Jaffer(@JafferMahmud) 's Twitter Profile Photo

Katika kipindi cha mwaka 2022/2023, serikali ya awamu ya sita ilikamilisha miradi ya maji 586 ambapo miradi hii inakadiriwa kusaidia wananchi takribani milion 4 katika vijiji zaidi ya 1293.

Katika kipindi cha mwaka 2022/2023, serikali ya awamu ya sita ilikamilisha miradi ya maji 586 ambapo miradi hii inakadiriwa kusaidia wananchi takribani milion 4 katika vijiji zaidi ya 1293. #MamaYukoKazini
account_circle
Mahmud Jaffer(@JafferMahmud) 's Twitter Profile Photo

๐Œ๐€๐Œ๐€ ni mnasihi wa vijana wengi na kioo ambacho mabinti na wanawake wengi wanajitazama, kama anavyoeleza Luna Lupembe.

account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

Mbunge wa Makete, Festo Sanga akichangia Bungeni Dodoma leo May 03,2024 amesema Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezidiwa hivyo ameshauri kuwepo Taasisi/Wakala watatu tofauti wanaosimamia umeme Nchini ili kuboresha ufanisi.

Sanga amesema โ€œMahitaji na matumizi ya Umemeโ€ฆ

account_circle
Swahili Times(@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

Serikali imezielekeza mamlaka za mikoa iliyotajwa kupitiwa na Kimbunga HIDAYA kuendelea kuchukua tahadhari na kutoa taarifa kuhusu mwenendo wa kimbunga hicho.

Taarifa ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetaja maeneo yatakayoathirika kuwa ni Mtwara, Lindi, Pwaniโ€ฆ

account_circle
Mama Anafanikisha(@mamanafanikisha) 's Twitter Profile Photo

๐”๐ก๐ฎ๐ซ๐ฎ ๐ฐ๐š ๐ฏ๐ฒ๐จ๐ฆ๐›๐จ ๐ฏ๐ฒ๐š ๐ก๐š๐›๐š๐ซ๐ข

Goodluck Carlos maarufu kama Mr. Mwanya amemshukuru Rais Samia Suluhu kwa kuzingatia uhuru wa vyombo vya habari.

account_circle
Swahili Times(@swahilitimes) 's Twitter Profile Photo

โ€œKutoka saa 9 alfajiri [Kimbunga HIDAYA] kilikuwa kilomita 401 kutoka Pwani ya nchi yetu katika Mkoa wa Mtwara, lakini umeendelea mzunguko huo kusogelea Pwani yetu na sasa umebakisha kilomita 342 na umeendelea kusogea, lakini habari nzuri ni kwamba unaendelea kupungua nguvu.โ€ โ€“โ€ฆ

โ€œKutoka saa 9 alfajiri [Kimbunga HIDAYA] kilikuwa kilomita 401 kutoka Pwani ya nchi yetu katika Mkoa wa Mtwara, lakini umeendelea mzunguko huo kusogelea Pwani yetu na sasa umebakisha kilomita 342 na umeendelea kusogea, lakini habari nzuri ni kwamba unaendelea kupungua nguvu.โ€ โ€“โ€ฆ
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐•๐˜๐Ž๐Œ๐๐Ž ๐•๐˜๐€ ๐‡๐€๐๐€๐‘๐ˆ ๐•๐ˆ๐Š๐Ž ๐‡๐”๐‘๐”

Katika vyombo vya habari vimekuwa daraja kati ya wananchi na Serikali yao.

Ameimarisha uhuru wa vyombo vya habari ambao huchochea maendeleo, amani, utulivu na furaha kwa taifa.

๐•๐˜๐Ž๐Œ๐๐Ž ๐•๐˜๐€ ๐‡๐€๐๐€๐‘๐ˆ ๐•๐ˆ๐Š๐Ž ๐‡๐”๐‘๐” Katika #MiakaMitatuYaMama vyombo vya habari vimekuwa daraja kati ya wananchi na Serikali yao. Ameimarisha uhuru wa vyombo vya habari ambao huchochea maendeleo, amani, utulivu na furaha kwa taifa. #MamaYukoKazini
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo



Uzingatiaji wa utawala wa sheria umeboresha utendaji na kuimarisha sekta mbalimbali nchini.

Huu ni ushuhuda kutoka kwa Elizabeth Mramba akigusia sekta moja ya habari.

account_circle
Nape Moses Nnauye(@Nnauye_Nape) 's Twitter Profile Photo

Report ya World Press Freedom ya leo tar 03/5/2024 imeonyesha Tanzania imefanya vizuri KUHESHIMU UHURU wa habari Duniani.
Imepanda toka nafasi 143 Mwaka 2023 kidunia hadi nafasi 97 Mwaka 2024. Tanzania imepanda kwa nafasi 46 na kuziacha nyuma nchi zote za Afrika ya mashariki.๐Ÿ‘๐Ÿพ

Report ya World Press Freedom ya leo tar 03/5/2024 imeonyesha Tanzania imefanya vizuri KUHESHIMU UHURU wa habari Duniani. Imepanda toka nafasi 143 Mwaka 2023 kidunia hadi nafasi 97 Mwaka 2024. Tanzania imepanda kwa nafasi 46 na kuziacha nyuma nchi zote za Afrika ya mashariki.๐Ÿ‘๐Ÿพ
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐ก๐ฎ๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐š, ๐ฅ๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐š

๐Œ๐€๐Œ๐€ anawaonesha kazi ya ujenzi wa vivuko vitano vitakavyotatua adha ya usafiri, kuimarisha usalama kwa wananchi na kuongeza kasi ya ufanyaji shughuli za kiuchumi na kujamii Kanda yaโ€ฆ

๐–๐š๐ญ๐ฎ ๐ก๐ฎ๐ฉ๐ž๐ง๐๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐š, ๐ฅ๐š๐ค๐ข๐ง๐ข ๐ณ๐š๐ข๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐š๐ค๐š ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐š ๐Œ๐€๐Œ๐€ anawaonesha kazi ya ujenzi wa vivuko vitano vitakavyotatua adha ya usafiri, kuimarisha usalama kwa wananchi na kuongeza kasi ya ufanyaji shughuli za kiuchumi na kujamii Kanda yaโ€ฆ
account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo



Mwanafunzi wa Uandishi wa Habari, Mariam Salim akieleza tofauti anayoiona juu ya hali ya vyombo vya habari ilivyokuwa awali na sasa chini ya MAMA.

account_circle
Mama yuko Kazini(@mamayukokazini) 's Twitter Profile Photo

Mwaka 2024/25 Serikali itajenga, kukamilisha na kukarabati maabara za sayansi 203 katika shule za sekondari.

Huu ni utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo (2021/22 - 2025/26) unaoweka mkazo kati masomo ya sayansi ili kuandaa rasilimali watu inayoendana na mabadiliko yaโ€ฆ

Mwaka 2024/25 Serikali itajenga, kukamilisha na kukarabati maabara za sayansi 203 katika shule za sekondari. Huu ni utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo (2021/22 - 2025/26) unaoweka mkazo kati masomo ya sayansi ili kuandaa rasilimali watu inayoendana na mabadiliko yaโ€ฆ
account_circle
Hildaya - Makash(@HildayaD) 's Twitter Profile Photo

Guys! Kwa dunia ya leo Ubinadamu wetu hutofautishwa na fedha.

Nasisitiza kama unaweza kupata fedha, tafuta zitumie kujenga kinga ya kuishi.

Mwisho wa siku, hakuna pesa inayonuka ila Kuna binadamu wanaonuka.

account_circle
Kubwa Lao(@Its_Fik) 's Twitter Profile Photo

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi bilioni 5 ambazo ni fedha za dharura kwajili ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeharibika katika mkoa wa Lindi.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi bilioni 5 ambazo ni fedha za dharura kwajili ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja ambayo imeharibika katika mkoa wa Lindi. #mamayukokazini
account_circle
Kubwa Lao(@Its_Fik) 's Twitter Profile Photo

Kipindi hiki cha walimu wanafuraha sana maana amewalipa malimbikizo ya mishahara yao lakini pia anahakikisha wanaishi kwenye mazingira bora.

Kipindi hiki cha #mamayukokazini walimu wanafuraha sana maana amewalipa malimbikizo ya mishahara yao lakini pia anahakikisha wanaishi kwenye mazingira bora.
account_circle