John kalage ๐น๐ฟ
@kalage_jr
To infinite or Even Beyond it.
ID:1303715139993116678
09-09-2020 15:21:38
192,2K Tweets
171,1K Followers
1,9K Following
#BajetiKilimo : Tanzania ni mzalishaji wa pili wa tumbaku Afrika kutoka katika kundi linaloitwa 'Others' ambapo uzalishaji umeongezeka kutoka tani 70,699 mwaka 2021/2022 na sasa uzalishaji ni tani 125,592 na mwaka ujao tunatarajia kufika tani 200,000. ~ Waziri Mhe Hussein M Bashe
Kujengwa na kukarabati miundombinu ya umwagiliaji kutaongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta 727,280.6 kwa mwaka 2020/2021 hadi hekta 983,466.06 ambazo ni sawa na asilimia 81.95 ya lengo la hekta 1,200,000 ifikapo mwaka 2025 ~ Waziri wa Kilimo Mh Hussein M Bashe
#BajetiKilimo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 amesema Bodi ya Pamba..
Hussein M Bashe
#BajetiKilimo
Thank you Minister Elina Valtonen for a very fruitful engagement - and for your leadership in advancing our bilateral relations. Looking forward to working closely with you. MFA Finland ๐ซ๐ฎ FinnishEmbassyTZ
Vipau sita vya Mpango na Bajeti Mwaka 2024/2025.
#BajetiYaWakulima
#Ajenda1030
#LishaTaifaLishaDunia