@maokoto0
......
ID:1155082869615812608
calendar_today27-07-2019 11:49:51
18,0K Tweets
3,1K Followers
3,3K Following
2 hours ago
Mtu ananiteka na Range anadhani nitapiga kelele kweli we twende gari ikiishiwa mafuta pita sheli tujaze ukichoka kuendesha nipe niendeshe mimi ๐
1 hour ago
Ruto aliomba poo kidhungu cha wamarekani Halafu kuna mjaruo mmoja kila siku kidhungu mye mye๐ข๐ข๐ข
18 hours ago
Usiku mwema tulio oa tukaichape
19 hours ago
Akili inaposema hafai na moyo ukasema nampenda hiyo vita ni ngumu sana kuishinda.
uliowaamini watushike mikono ndo hao moyoni mwao hawataki mafanikio yako
Watoto ni malaikaWatoto wenyewe sasa ๐๐
PARODY me enyewe si nawashangaa tu harmonize hakai sana kwenye game Anakuwea mbuge mahara ccm Kuna nafasi ake Kule chitoholi
Ndio maana yunisi alimkazia
Harmonize Ile jina la album ni la kimaokoto zaidi ya kwenye chama ujue mwakani ni uchaguzi , sasa wewe Baki kumlaumu na ushamba wako
21 hours ago
Munifolo wajameni nafolo baki๐
Ma boss wa Chelsea Wana ujinga Sana
Nyaya za baharini walipitisha mwaka gani ? Tusije kua tunapigwa fix za mbwiga tu
'Ami' anakua ni Nani yako ?Tuone waswahili humu
1 day ago
Huo mdomo wa sponsor ulio vuta fegi tangu mwaka 70 ndio unanyonya dada angu
Katika mtu ambaye mwanaume anatakiwa kuishi naye kwa akili kubwa na kumuogopa hapa duniani ni MWANAMKE.
Masikini usilazimishe uheshimike , ukitaka mkeo au watoto wakuheshimu tafuta hela - MCH Mgogo
Itakua haina mana unatafuta hela alafu uishi kwa matumaini JALI NA LINDA AFYA YAKO.
Wanaume ni wenye NDEVU,nyie wengine mnaweza kuingia hata leba..!!๐๐๐
Yupo sahihi Tu kutudharau wanaume masikini Mimi simlaumu Kwa lolote - Aisha feruz ๐
Wana mnanyima repost tu kwa tweet zangu , ivi michongo mtanipa kweli?Hii ndio die alone