GPSA Tanzania(@GpsaTanzania) 's Twitter Profile Photo

Makabidhiano ya mradi wa ukarabati wa kituo cha mafuta Kurasini jijini Dar es Salaam yamefanyika Jumanne 21/05/2024 kati ya GPSA na Osaka Store yakishuhudiwa na TBA ikiwa ni utekelezaji wa Mpango wa maboresho utoaji huduma za Wakala.

Makabidhiano ya mradi wa ukarabati wa kituo cha mafuta Kurasini jijini Dar es Salaam  yamefanyika Jumanne 21/05/2024 kati ya GPSA na Osaka Store yakishuhudiwa na  TBA ikiwa ni utekelezaji wa Mpango wa maboresho utoaji huduma za Wakala.
#GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali
account_circle
GPSA Tanzania(@GpsaTanzania) 's Twitter Profile Photo

Bodi ya Ushauri ya Wizara, menejimenti na watumishi wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) wanawatakia maadhimisho mema ya sikukuu ya Wafanyakazi duniani ya Mei Mosi.

Bodi ya Ushauri ya Wizara, menejimenti na watumishi wa Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) wanawatakia maadhimisho mema ya sikukuu ya Wafanyakazi duniani ya Mei Mosi.

#GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali #MeiMosi #SikukuuYaWafanyakazi
account_circle
GPSA Tanzania(@GpsaTanzania) 's Twitter Profile Photo

Maboresho ya Ofisi na Kituo cha Wakala Mkoa wa Pwani. Tupo mkabala na Barabara Kuu ya Morogoro karibu na Ofisi ya TANROADS Kibaha, Pwani.

Karibu tukuhudumie kielektroniki kupitia GIMIS katika vituo vyetu!

Maboresho ya Ofisi na Kituo cha Wakala Mkoa wa Pwani. Tupo mkabala na Barabara Kuu ya Morogoro karibu na Ofisi ya TANROADS Kibaha, Pwani.

Karibu tukuhudumie kielektroniki kupitia GIMIS katika vituo vyetu!

#GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali #GPSAFuelService #GPSAHudumaYaMafuta
account_circle
GPSA Tanzania(@GpsaTanzania) 's Twitter Profile Photo

4/4
Pof. Rasheli aliwashukuru wadau walioshiriki kutoa mafunzo hayo ikiwemo Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA).

account_circle