QUESTION: Which artist would you like to see performing on December 31st? #BombaLaSanaa
Vile Tony na Bancey wataingia concert ya Christina Shusho😂😂
Ati hii luku ya Ogweyo The Lizard ni KSh70,000...Unasemaje?
#BombaLaSanaa TONY MWIRIGI Bancey ✨✨
Siku hizi Mapenzi Kama Biashara,Kuoa Lazima Mpenzi wako awe na kipato(kazi) Halafu Mapenzi yataingia baada ya hapo….Wanasema Ndio Maisha ya GenZ😃 #BombaLaSanaa
Unaamka na Mipango yako -Mungu ana Mipango juu yako ,Wanafiki wana mipango juu yako,Wachawi wana Mipango Juu Yako…Hii ina Maana Anza na Mungu na Umalize na Mungu🙏Furaha na Amani ya Moyo ndivyo ni vitu havinunuliki…
@fathermohtv
“I AM THE CELEBRITIES HOST” #BombaLaSanaa