Jizee, ni awamu nyingine tunapatana tena ndani ya #GoodEveningKenya tuweze kusemezana na kujadili yote yanayotukumba. Je, unatupata ukiwa wapi?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Mfalme Jk nafikiria serikali walifanya makosa kutoa hiyo habari kama wamechelewa kwa sababu utapata wazazi wengi pamoja na wanafunzi walikua wamejipanga kuenda shule,hiyo habari walitoa si mbaya juu ya usalama to our children lakini wangetoa mapema kiasi #GoodEveningKenya .
Jk Long time locked nikiwa katakwa teso pamoja na wazazi wangu mzee Sammy epaah, mum priscah epaah, FILEX emayot epaah, mercy epaah, Marylynne nyangweso, wife jentrix okiroje, mzee Abel okiroje katakwa Teso inasikiza show twende Nayo Nayo Hadi tamatii #Goodeveningkenya
Hewani ni mpango mzima wa #GoodEveningKenya ukiwa na Kamau Munyua. Ni kipi ambacho umeshuhudia hapo kwenu na ungependa tuangazie?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Mibibi na mijizee, karibuni ndani ya #GoodEveningKenya ukiwa nami Kamau Munyua. Je, unapokea burudani ukiwa maneno yapi?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Jizee, kamata position ni awamu ya #GoodEveningKenya ukiwa nami Kamau Munyua. Je, unatupata ukiwa wapi?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Jizee, ni wakati wa #GoodEveningKenya ukiwa nami Kamau Munyua karibia tuelimishane na tuburudike pamoja. Je, unatupata ukiwa wapi?
#GoodEveningKenya
#RadioNumberOne
Radio Citizen Jk Nikiwa hapa Kijiji Cha emulunya kisa East county ya kakamega Ingo nawakilisha pamoja na wazazi wangu mzee nashonAura na Mama floraEtindi. Radio Citizen #goodeveningkenya
Nikiwa ivuyi shinyalu nakupata vipoa JK pamoja na mwalimu Stephen Mamboleo #GoodEveningKenya Radio Citizen hadi tamati