Karibu katika awamu ya mwisho ya #JamboKenyaChangamka ukiwa nami Tina Ogal. Je, unatupata ukiwa wapi?
#JamboKenyaChangamka
#RadioNumberOne
Radio Citizen Tina Ogal Nimpongeza sana ghuru @tomkimbaraza kwa ushauri nasaha. Mfano ni hapa koboriot primary ambapo madaraja hayapo kabisa huku maji ya mito tirorok na malakisi yakiwa yamejaa furifuri hadi pomoni #jambokenyachangamka
Ndani ya #JamboKenyaChangamka nikiwa Likuyani. Rausha wife Petronila, Mom Tecla, dad Sifumbukho, majirani na marafiki wote. Radio Citizen Tina Ogal Munai General Mateni Job ®🇰🇪 Mtemi Gilberto🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Rono Jeff Lillian Zakayo ( Mali Safi❤️🔥) Wangechi Kabiu (Cowgal😘😍) willy karani Violet Karani ford Kimungui
Radio Citizen Tina Ogal Salamu zangu kwake seneta Seneta Tomkim Baraza HSC. Hapa koboriot primary, kopsiro subcounty madaraja yote hayapo kabisa huku maji ya mito tirorok na malakisi yakiwa yamejaa furifuri hadi pomoni #jambokenyachangamka
Radio Citizen Tina Ogal Nimpongeza sana ghuru @tomkimbaraza kwa ushauri nasaha. Mfano ni hapa koboriot primary ambapo madaraja hayapo kabisa huku maji ya mito tirorok na malakisi yakiwa yamejaa #jambokenyachangamka
Awamu ya miondoko tunasonga nayo nayo #JamboKenyaChangamka Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai tuned as usual mabingwa
Awamu ya miondoko tunasonga nayo nayo #JamboKenyaChangamka Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai ivuyi shinyalu mnatesa mabingwa
MR. EPAAH LEVI'S ENOCK MANDILA Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Kakamega town tupo ndani tunapojiandaa kuelekea kwenye mazishi ya Tunai Miti Machusi pale Mungakha village Lwandeti. Rausha watu wote wa Lwandeti #JamboKenyaChangamka
Radio Citizen Tina Ogal Nimpongeza sana ghuru @tomkimbaraza kwa ushauri nasaha. Si vyema tuyahatarishe maisha ya maelfu ya wanafunzi dhidi ya masomo. Agizo la rais lifuatwe #jambokenyachangamka
MR. EPAAH LEVI'S ZablonEsikuri Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Kakamega town tupo ndani tunapojiandaa kuelekea kwenye mazishi ya Tunai Miti Machusi pale Mungakha village Lwandeti. Rausha watu wote wa Lwandeti #JamboKenyaChangamka
Radio Citizen Tina Ogal Nimpongeza sana ghuru @tomkimbaraza kwa ushauri nasaha. Si vyema tuyahatarishe maisha ya maelfu ya wanafunzi dhidi ya masomo. Agizo la rais lifuatwe, #jambokenyachangamka
Amongura Teso wapi GradPa JosephAgola GradMum YoninaIseren EvansAdunguli Mama EvelineAgola Baba AlexChesang Wife LucyKedi #JamboKenyaChangamka
Aluda Mika Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Awamu ya miondoko, show ni maridadi. Matayos Busia County bado nawakilisha
#JamboKenyaChangamka
#RadioNumberOne
Hujambo Tina Ogal na Munayi Nawapata vyema sana nikiwa Madala Area Shinyalu, ni maombi tu pekee Mungu atukumbuke sisi wakenya kwa majanga haya yanayotupata #JamboKenyaChangamka Radio Citizen
Aluda Mika Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Awamu ya miondoko, show ni maridadi. Matayos Busia County bado nawakilisha
#JamboKenyaChangamka
#RadioNumberOne
Aluda Mika Radio Citizen Tina Ogal @abdimunai Awamu ya miondoko, show ni maridadi. Matayos Busia County bado nawakilisha
#JamboKenyaChangamka
#RadioNumberOne