Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Arusha

“Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,'- Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Eng. Yahya Samamba

📸:W/Madini

📍Arusha

“Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,'- Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Eng. Yahya Samamba

📸:W/Madini
account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Arusha

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha.

Jukwaa hilo la siku tatu linaloambatana na maonesho linalotarajiwa kumalizika

📍Arusha

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha. 

Jukwaa hilo la siku tatu linaloambatana na maonesho  linalotarajiwa kumalizika
account_circle
Jambo TV(@Jambotv_) 's Twitter Profile Photo

“Tunapozungumzia Jukwaa la Tatu la Utekelezaji la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini najua tunazungumzia local content (ushirikishwaji wa Watanzania) , na watu wote waliokuja kuzungumza hapa tumeona namna gani wakijinasibu walivyotoa fursa mbalimbali kwa

“Tunapozungumzia Jukwaa la Tatu la Utekelezaji la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini najua tunazungumzia local content (ushirikishwaji wa Watanzania) , na watu wote waliokuja kuzungumza hapa tumeona namna gani wakijinasibu walivyotoa fursa mbalimbali kwa
account_circle
Jamii Forums(@JamiiForums) 's Twitter Profile Photo

Hivi umewahi kujiuliza Bibi Titi Mohamed alikuwa ni nani? Kama ulikuwa hufahamu kuhusu historia yake, fuatilia video hii ili kumfahamu Mwanaharakati huyu aliyeshiriki katika kupigania Uhuru wa Tanganyika hadi kuwa Tanzania

Kwa historia mbalimbali tembelea Jukwaa la Historia

account_circle
Wizara ya Madini(@MadiniTanzania) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde ametembelea mabanda ya maonesho ya madini ambayo yanakwenda sambamba na Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji Watanzania katika Sekta ya Madini.

Tumeyamadini

Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde ametembelea mabanda ya maonesho ya madini ambayo yanakwenda sambamba na Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji Watanzania katika Sekta ya Madini.
#LocalContent
@TumeyamadiniTZ
account_circle
Tumeyamadini(@TumeyamadiniTZ) 's Twitter Profile Photo

Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,'- Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Eng. Yahya Samamba

Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,'- Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Eng. Yahya Samamba
account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Arusha

Karibu katika maonesho na jukwaa la tatu la utekelezaji wa ushirikishwaji wa watanzania katika sekta ya madini jijini Arusha -MC Big Chris

📹:W/Madini

account_circle
Wizara ya Madini(@MadiniTanzania) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kufungua Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha. Jukwaa Hilo la Siku tatu linaloambatana na maonesho linalotarajiwa kuwakutanisha Mei 24, wadau mbalimbali wa Madini.

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kufungua  Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha.  Jukwaa Hilo la Siku tatu linaloambatana na maonesho linalotarajiwa kuwakutanisha Mei 24, wadau mbalimbali wa Madini.
account_circle
millardayo(@millardayo) 's Twitter Profile Photo

VIDEO: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye, ameonesha kukerwa na habari iliyowekwa mtandaoni yenye mahojiano na Mwanamke Mtanzania anayedai kuishi na nyoka pamoja na kufanya nae mapenzi.

Akiongea katika Kongamano lililoandaliwa na Jukwaa la

account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Kidijiti ni jukwaa linalowakutanisha wanafunzi wa ngazi zote za elimu, wanaopenda masomo ya sayansi na teknolojia kwa lengo la kupata uelewa, kuhamasika kubuni na kuvumbua hazina kidijiti.

▪️Ewe mwalimu au mwanafunzi, tembelea digitalclubs.tz LEO kujiunga na

account_circle
Msumba News Blog(@MsumbaNews_) 's Twitter Profile Photo

Waziri waMadini Anthony Mavunde akikagua vifaa vya usalama mahali pa kazi ikiwemo migodini,inayozalishwa na kusambazwa na kampuni ya katika maonesho ya Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini.

Waziri waMadini Anthony Mavunde akikagua vifaa vya usalama mahali pa kazi ikiwemo migodini,inayozalishwa na kusambazwa na  kampuni ya #InfinityInterglobal katika maonesho ya Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini.
#MsumbaNewsBlogUpdates
account_circle
nagib abdulaziz omar(@nagib_omar) 's Twitter Profile Photo

Katika Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikwishaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini. Hongera sana Wizara na Tume ya Madini kwa hamasa hii kubwa ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini 👏🏼


Tumeyamadini
Wizara ya Madini

Katika Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikwishaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini. Hongera sana Wizara na Tume ya Madini kwa hamasa hii kubwa ya Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini 👏🏼

#madinininimaishanautajiri
@TumeyamadiniTZ 
@MadiniTanzania
account_circle
Wizara ya Madini(@MadiniTanzania) 's Twitter Profile Photo

'Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,' Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba.

Tumeyamadini

'Jukwaa hili ni maalum kwa ajili ya kujadili changamoto zilizopo kwenye Sekta ya Madini na kuziboresha zaidi. Tunapotunga sheria na miongozo changamoto hazikosekani, Serikali sikivu,' Katibu Mtendaji -Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba.
#LocalContent
@TumeyamadiniTZ
account_circle
Voice of Bongo(@voiceofbongo) 's Twitter Profile Photo

Klabu ya Kidijiti ni jukwaa linalowakutanisha wanafunzi wa ngazi zote za elimu, wanaopenda masomo ya sayansi na teknolojia.

📌Ewe mwalimu au mwanafunzi, tembelea digitalclubs.tz LEO kujiunga na klabu ya kidijiti uipendayo au kuanzisha klabu yako.📌

account_circle
Haki Ngowi(@Hakingowi) 's Twitter Profile Photo

📍Arusha

▪️ZIARA YA WAZIRI MAVUNDE KWENYE MAONESHO KATIKA JUKWAA LA TATU LA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Leo Mei 22, 2024 Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde ametembelea mabanda ya wadau wa madini kwenye maonesho yanayofanyika ikiwa ni sehemu ya

📍Arusha

▪️ZIARA YA WAZIRI MAVUNDE KWENYE MAONESHO KATIKA JUKWAA LA TATU LA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA KATIKA SEKTA YA MADINI

Leo Mei 22, 2024 Waziri wa Madini, Mheshimiwa Anthony Mavunde ametembelea mabanda ya wadau wa madini kwenye maonesho yanayofanyika ikiwa ni sehemu ya
account_circle
KAPETO🇹🇿(@kapeto98) 's Twitter Profile Photo

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kufungua Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha. Jukwaa Hilo la Siku tatu linaloambatana na maonesho linalotarajiwa kuwakutanisha Mei 24, wadau mbalimbali wa Madini.

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde anatarajiwa kufungua  Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 22, 2024 jijini Arusha.  Jukwaa Hilo la Siku tatu linaloambatana na maonesho linalotarajiwa kuwakutanisha Mei 24, wadau mbalimbali wa Madini.
account_circle
The Nairobi Hospital(@thenairobihosp) 's Twitter Profile Photo

Ungana na Dakaktari Reuben Okioma,Mtaalamu, wangonjwa Mahututi, kwenye runinga ya Citizen, Jukwaa la Afya,leo saa tano asubuhi.

Ungana na Dakaktari Reuben Okioma,Mtaalamu, wangonjwa Mahututi, kwenye runinga ya Citizen, Jukwaa la Afya,leo saa tano asubuhi.
account_circle