Maudhui mazuri yanakusaidia kuuza na kufikia watu wengi kwenye mitandao ya kijamii , usiogope kuanza Kama unataka kuwa mraghabishi . Wakati wa kuanza ni sasa , kesho utakua umechelewa Sana ' #KijanaMkakati
Join our transformative journey as we strengthen our organizational capacity from the ground up. In this video, witness the evolution of TAYOBECO's leadership, financial management, program design, and monitoring processes amongst others.
#KijanaMkakati
Part 2.
Happy International Workers' Day!
Today, we celebrate the dedication, hard work, and invaluable contributions of workers around the 🌍.
TAYOBECO is committed to empowering youth and advocating for their rights.
💪✨
#InternationalWorkersDay #TAYOBECO
#KijanaMkakati
#YOHETA
Mambo yanayozingatiwa na taasisi za kifedha kabla ya kukukopesha
▪︎ Tabia (Kukopa na kurejesha)
▪︎ Uwezo wa kukopa
▪︎ Mtaji ulionao
▪︎ Dhamana
▪︎ Historia yako ya kukopa
▪︎ Mengineyo
#KijanaMkakati
Siku ya pili ya mafunzo kwa vijana wa vikundi 10 katika kata za Makumbusho, Mwananyamala na Kijitonyama wanao jishughulisha na ujasiriamali watajifunza
▪︎ Nidhamu ya Fedha
#KijanaMkakati
Faida tunazozipata katika mafunzo haya ya #KijanaMkakati
▪︎ kuonekana katika majukwa mengine tukielezea uzoefu wetu
▪︎ Kualikwa kwenda kutoa mafunzo
▪︎ Kushiriki shughuli za vikundi vingine
Mnufaika wa mradi
Sifa ya Chapa nzuri inapaswa iwe inavutie na rafiki kwa mazingira uliyopo pia iwe na ujumbe chanya ili itume ujumbe wenye maana
#KijanaMkakati
'Thanks to TAYOBECO, I now have the skills and confidence to start my own business and support my family. I am grateful for their support and mentorship.' - Hussein Temu @achali_ya_mbilimbi - Youth Entrepreneur, Dar Es Salaam.
#KijanaMkakati
TAYOBECO attended the inaugural stakeholders meeting of the Tanzania Coalition Against Child Labour (TCACL) in preparation for the World Day Against Child Labour (WDACL). The meeting took place at the Legal and Human Rights Center (LHRC) in Dar es Salaam.
#KijanaMkakati
'Tunawasaidia Vijana kupata masoko kutoka katika Balozi zetu zilizopo katika Nchi Mbalimbali Wanapokuja nchini kutafuta bidhaa kwakua wanaanzia SIDO, Bila Kujiunga nasi Hizi Fursa zitakupita Kijana Mjasiliamali.'
#KijanaMkakati Foundation for Civil Society
Talk to a Therapist🧏
It's okay to ask for help along the way. Reach out to a friend, family member, or Mental health professional.
#mentalhealthawareness
#MentalHealth
#TAYOBECO
#YOHETA
#KijanaMkakati
Organizers and activists from across Sub Saharan Africa meet together across a week to deep dive into organizing practices.
#Roots
#KijanaMkakati
#TAYOBECO
#ClimateJustice
Branding (Chapa) inauza huduma au bidhaa yako ni muhimu pia ikawa na kauli mbiu (Slogan)
Mr Jonathan
#KijanaMkakati
Let Communities Lead ❤️
#WAD2023 , we reiterate our commitment to ‘ #EngagedCommunities ’ to accelerate actions required to eliminate HIV/AIDS.
#WAD2023
#16daysofactivism
#KijanaMkakati
Taasisi ya TAYOBECO Tanzania leo imeandaa mafunzo ya chapa, soko la kidigitali na ushiriki wa vijana katika miradi ya kiuchumi kupitia mradi wao wa #KijanaMkakati
Take a moment today to check in with yourself and those around you.
Let's support each other's mental health journeys with empathy and understanding.
#mentalhealthawareness
#MentalHealth
#TAYOBECO
#YOHETA
#KijanaMkakati
The success of every woman should be the inspiration to another. We should raise each other up. #InvestInWomenAccelerateProgress
#WomensDay2024 #InternationalWomensDay #HappyWomensDay #InspireInclusion
#YOHETA
#KijanaMkakati
'🌱 Ensuring organizational sustainability begins with engaging stakeholders! 🌍 Join us as we champion collaboration for a brighter future.
#KijanaMkakati #CLM #YOHETA #AfyaBora #TAYOBECO #Sustainability