#BURUDANI On #TheCruise ya #EastAfricaRadio imepiga story na mtangazaji maarufu Kenya Mzazi Willy M. Tuva akitaja wimbo wa Kiswahili ulio Hit Dunia.
Usiache kusikiliza #TheCruise kuanzia saa 3:00 - 6:00 usiku kila siku ya J3 mpaka Alhamisi.
#TheCruise #Kiswahili #Malaika #Muziki …
Gwiji la Kiswahili na Mshairi maarufu nchini AMIRI ABDALLAH SOUD ANDANENGA (Sauti ya kiza), amefariki asubuhi hii.
Maziko Gwiji huyo yanatarajia kufanyika leo saa 10 alasiri katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam.
#KitengeUpdates
VIDEO: Hon. Paul Luttamaguzi on the parliament telling them to adapt Kiswahili.
🎥: Sam Ibanda Mugabi
#NBSUpdates