Gujarat: अंतरराष्ट्रीय पतंग महोत्सव का आगाज, रंग-बिरंगी पतंगों के बीच लोग लेकर पहुंचे 'राम' की छवि वाली पंतग #Varta24live #Gujrat #Kitefestival2024 #kiteFestival #kitengeSports #RamJanmbhoomi #JayShriRam #AyodhyaJanmBhoomi
Rais wa klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika (ACA) Eng.Hersi Said alimualika Waziri wa Michezo wa Ivory Coast Adjé Silas na kuzungumzia mambo mbalimbali ya maendeleo ya Klabu hiyo na michezo kwa ujumla.
#KitengeSports
“Coastal wamestahili walichokipata na wamecheza vizuri, maana kuna wengine walikula 5”____ @alikamwe akizungumza baada ya mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union kumalizika huku Yanga akiibuka mshindi wa 1-0.
#kitengeSports
'Witness the cuteness overload in this must-watch video featuring my 4-year-old kid!'
Follow me for more videos
#kite surf
#kite
#kite ngeSports
#viral
#kids
#pakistannews
#PakistanCricket
#PakistanArmy
You wanna enjoy kite surfing come get the best classes and rent some kites @Watamulocalkitesurfing.
#watamubeach #garoda #kilifi #Italy #Africa #kitefestival #kitengeSports #KiteFestival2023 #surfing #kites urfing #DianiBeach #Kenya #kites #PHOTOS #photograph #photograph ers
Afisa wa habari wa Simba Ahmed Ally akifuatilia mbungi la timu yake dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Mkapa pambano lililomalizika kwa Simba kulala mabao 2-1.
#KitengeSports
Milango imekuwa migumu mpaka mapumziko katika dimba la Azam Complex, Chamazi kati ya wenyeji, Yanga Sc dhidi ya Wagosi wa Kaya.
HT: Yanga SC 0-0 Coastal Union
#KitengeSports
🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Simba SC ni Mabingwa wa kombe la Muungano 2024 kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC kwenye fainali iliyopigwa katika dimba la New Amaan Complex, Zanzibar.
FT: FT: SIMBA SC 1-0 AZAM FC
77’—⚽️Babacar Sarr.
#KitengeSports
Kariakoo derby inaelekea mapumzikoni huku Wananchi, Young Africans Sc wakiwa mbele 2-0 dhidi ya Watani zao, Simba SC.
HT: YANGA SC 2-0 SIMBA SC
⚽ Aziz Ki (P) 20'
⚽ Guede 37'
Je dhahama ya 5-1 itajirudia?
#KitengeSports
Freddy Michael Kouablan anawapeleka Simba Sc mapumzikoni vifua mbele dhidi ya KVZ FC katika dimba la Amaan Complex, Zanzibar.
HT: KVZ Fc 0-1 Simba Sc
⚽ Kouablan 25'
Ni katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Muungano 2024.
#KitengeSports
FT : SIMBA SC 1-5 YANGA SC
⚽ Kibu 9'
⚽ Musonda 03'
⚽⚽ Maxi 64' 77'
⚽ Aziz Ki 73'
⚽ Zouzoua 85'
Mara ya mwisho timu hizi kufungana magoli matano ilikuwa Mei 6, 2012 ambapo Simba SC ilishinda 5-0 dhidi ya Yanga. Leo mzani yamejirudia.
#KitengeSports