LULU FM RADIO(@_lulufmradio) 's Twitter Profile Photo


Nehemia 8:10
Kisha akawaambia, Enendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyewekewa kitu; maana siku hii ni takatifu kwa Bwana wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.

#NENOLASIKU
Nehemia 8:10
Kisha akawaambia, Enendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyewekewa kitu; maana siku hii ni takatifu kwa Bwana wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu.
account_circle
LULU FM RADIO(@_lulufmradio) 's Twitter Profile Photo


Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako, uliowawekea akiba wakuchao, ambao huwapa wale wakukimbiliao machoni pa watu.
Zaburi 31:19 NEN

#NenoLaSiku
Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako, uliowawekea akiba wakuchao, ambao huwapa wale wakukimbiliao machoni pa watu.
Zaburi 31:19 NEN
account_circle
The Bible Society of Tanzania(@ChaBibliatz) 's Twitter Profile Photo

2 Wakorintho 6:4 (SUV)
4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;

2 Wakorintho 6:4 (SUV)
4 bali katika kila neno tujipatie sifa njema, kama watumishi wa Mungu; katika saburi nyingi, katika dhiki, katika misiba, katika shida;
#Nenolasiku
account_circle
LULU FM RADIO(@_lulufmradio) 's Twitter Profile Photo


Zaburi 139:23-24
Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,
nijaribu na ujue mawazo yangu. 24.Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,
uniongoze katika njia ya milele.

#NENOLASIKU
Zaburi 139:23-24
Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,
nijaribu na ujue mawazo yangu. 24.Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,
uniongoze katika njia ya milele.
account_circle