Unaendelea kuelimika kwenye Nuru ya Lugha na Victor Mulama katika Radio Maisha.
Tuko Mbele Pamoja. #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Kitendawili....
Apendeza tu akiwa uchi. Huyo ni ____
Wa kwanza kujibu sahihi atapata zawadi ya Kamusi Pevu ya Kiswahili Toleo la Tatu.
Hii ni Nuru ya Lugha na Victor Mulama (7am -11am).
Nahodha Victor Mulama #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Fursa haibishi mara mbili aisee!
Tegea Jicho la Tatu na Shisia Wasilwa kwa uhondo kamili #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Tegea siri ya maisha kwenye Falsafa ya Kuku katika Jicho la Tatu na Shisia Wasilwa. #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Shairi; Radio Maisha ni Bora Kuliko Kitambo.....
Hii ni yetu wakuu. Tuendelee kupiga kwa kutuma SMS ya neno KUZA kwa 15601 na kuchagua Radio Maisha. #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Jibu la kitendawili Jumamosi hii kwenye Nuru ya Lugha na Victor Mulama ni.......MAHINDI
Aliyekuwa wa kwanza kutoa jibu sahihi ni Mwal. Charles Lubinu. Hongera! #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Unaendelea kuelimika kwenye Nuru ya Lugha na Victor Mulama katika Radio Maisha.
Tuko Mbele Pamoja. #NuruYaLugha
Kaaaribu katika Nuru ya Lugha na Victor Mulama (7am -11am)
Kumbuka upigaji kura wa KUZA AWARDS unaendelea.
Je, umetuma SMS ya neno KUZA kwa 15601 na kuchagua Radio Maisha ukiwa wapi?
Nahodha Victor Mulama #NuruYaLugha #UpyaZaidi
Peter Kimitei kapbuses Radio Maisha Nahodha Victor Mulama Nafuatilia nikiwa Maeneo ya Njoro Sub County #NuruYaLugha