Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G. Habash amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokua amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu. #RIPCaptain ๐๐ฟ๐๐ฟ
โSikutegemea kama siku ya leo tungekua hapa tukimuaga mpendwa wetuโ - Lady JayDee #RIPCaptain
Captain Gadner G. Habash hatunaye tena.
๐ฉ Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.
๐ฉHakika Sote tunatoka kwa Allah ( ุณูุจูุญูุงูููู ููุชูุนูุงููู) na kwake tutarejea.
#RIPCaptain
โGadner alikua mtangazaji aliyekamilika, Sauti yake ilikua ni sauti ya biashara, ndio maana alitumika kwenye matangazo mengi.
Akikaa nyuma ya mic ๐ค unajua kabisa huyu ni mtangazaji anazungumzaโ
- Deogratius Rweyunga (Mwakilishi IPP Media)
#RIPCaptain
โTuishi vizuri na watu, tue na mwisho mwema, Gadner ni mtu wa anga, ndio maana tuliguswa na kushauri mwili wake uwende Kilimanjaro kwa Ndegeโ
- โJiulize wewe ukitangulia utakua na watu kama hawa? Gadner alikua mtu wa watuโ
- Steve Nyerere #RIPCaptain
Breaking: Mtangazaji wa Clouds Media, Gadner G Abash amefariki dunia akipatiwa matibabu kwa siku kadhaa kwenye Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI). #RIPCaptain
โAsilimia 90 ya matangazo ya DSTV amefanya Gadner, sisi DSTV tumepoteza mtu muhimu sana, pole kwa familia na Clouds Mediaโ
- Baraka Shelukindo (Mwakilishi DSTV)
#RIPCaptain
โSisi Times tutamkumbuka siku zote Gadner G Habash, alifanya kazi kwa miaka miwili na nusu Times FM kisha akaondoka,
- Aliondoka kwa vizuri na hata alipoondoka tuliendelea kuazungumzaโ
- Rehure Nyaulawa (MD, Times FM)
#RIPCaptain
R.i.p Gardner G Habash one of the best presenter in Tanzania Media #tutaonanabaadae #Ripcaptain
โWiki moja iliyopita nilikwenda Hospitali, tukaongea na Gadner tukapiga story na tukacheka sana, taarifa hizi zilinishtua zilipokuja kwasababu akiniahidi baada ya siku mbili atatoka kurudi nyumbaniโ
- Muwakilishi wa Tripple 7 Marafiki wa Gadner.
#RIPCaptain
โHuwezi zungumzia tasnia ya habari nchini bila kumtaja Gadner, Gadner alikua mvumbuzi kwenye kutoa habari, alikua anatoa edutainment kwenye kipindi chao, habari ngumu zilikua zinaburudisha kwenye Jahaziโ
- Bakari Mwapachu (Mwakilishi Mwananchi Communications
#RIPCaptain
Mtangazaji Mkongwe wa CloudsFM Gardner G. Habash amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) alikokua amelazwa kwa siku kadhaa akipatiwa matibabu.
#RIPCaptain ๐๐ฟ๐๐ฟ
The son of general Ogolla, Bwn. Joel ame cleared the air about the CiCs relationship with the father, sasa utaskia analyst waanze kusema ooh, William Samoei Ruto, PhD alimtishia ana amekuwa compromised atapewa state job...nonsense....zaa general wako #RipCaptain #RIPGenOgolla
โWingi huu wa watu (Gadner) angeuona kwa macho angemshukuru Mola wake na angepata nguvu,
- Siku nyingine tupeane taarifa mapema mwenzetu anapokuwa kwenye hali ihitajiyo msaada ili tutoe michango kuokoa uhai wakeโ
- Albert Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
#RIPCaptain
โTunapoishi duniani tuwe baraka kwa wengine, Gadner, maisha yake yote yamekua ni baraka kwa wengineโ
- Gerson Msigwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mwana Habari. #RIPCaptain
Jamani, mbona sijasikia Mrisho Mpoto Mrisho Mpoto na Peter Msechu wakitoa wimbo wa msibani Kwa Gadnerโฆ
#RipCaptain