Ntakuwa Mtu wa mwisho kukubari kama tuna namba 6' mzawa zaidi ya huyu sisi tunao tazama ligi ya pls tunajua nini tunazungumza na kuna tetesi huenda jamaa akajiunga na Orlando pirates msimu ujao
🚨🇪🇸 TETESI! Manchester United wamefanya mazungumzo na wakala wa mshambuliaji wa Real Madrid Joselu (34). Kipaumbele cha mchezaji huyo ni kubaki Madrid. #MUFC [Matteo Moretto]