Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Arusha, imesema imewahoji watumishi saba wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, kufuatia tuhuma za kughushi nyaraka, uchepushaji wa makusanyo ya Serikali na ubadhirifu wa fedha za umma
#sitefm
#tukutanekazini
#tukutanesite
#JeshiLaMama Kazini πͺπ½
#TukutaneSite πππ― #SSH2025 β
#UWTImara chini ya Chatanda na Shomari π₯
#TukutaneSite #OPSamiaKorogwe
Kamati Ya Usalama Ya Wilaya Ya Korogwe, Maafisa Tarafa na Watumishi wa Ofisi Ya Mkuu Wa Wilaya Korogwe.
π 7 Days To Go π
Kakamega for Cleo and Betty
Kakamega for Khalwale
Kakamega is Rutonated
#TukutaneSite
#WakatiNiSasa
Leo nisiku ya wanawake DUNIANI. Sio siku ya KINA MAMA tuache kudogosha na kushusha hadhi ya MAMA zetu.
#malkiawanguvu .
#TukutaneSite
Ni Comrade Juma Homera Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (katikati)akiwa katika kongamano la wahariri na wadau wa Uhifadhi mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji linaloendelea hapa ukumbi wa Masiti mkoani Iringa, Mgeni Rasmi ni Dkt: Philip Mpango Makam wa Rais wa Tanzania.
#Tukutanesite
Waziri wa nchi ofisi ya Makam wa Rais muungano na mazingira seleman Jaffo amewataka wafugaji walioingiza mifugo katika hifadhi ya Taifa RUAHA kuiondoa kwa hiari ndani ya wiki tatu kabla hawajachukuliwa hatua za kisheria.
#Tukutanesite #tukutanekazini
#NEWS TUTAOTESHA MADARASA KAMA UYOGA.
Tunamshukuru Rais Samia ametupatia sh.bilioni2.6 kwaajiri ya ujenzi wa madarasa na mimi nawahakikishia Mbeya Tutaotesha Madarasa kama Uyoga.
RC HOMERA akipokea Taarifa ya utekelezaji wa zoezi la Sensa 2022
#Tukutanesite #tukutanekazini
π 9 Days To Go π
The Cleo Malalah's 30th July 2022 flow of events chart.
#TukutaneSite
#WakatiNiSasa
#NEWS Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amefungua kongamano la Wachungaji na Wainjilisti Wanawake linalofanyika katika ukumbi wa Chuo kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU) Jijini Mbeya leo Oktoba 6, 2022.
#Tukutanesite #tukutanekazini
#NEWS Ni mkuu wa mkoa wa Mbeya Comrade Juma Homera(kulia) akiwa na Waziri wa maliasili na utalii Balozi Pindi Chana(katikati) wakiingia ukumbini kwaajili ya ufunguzi wa program ya uhifadhi nyanda za juu kusini na RUAHA-KATAVI
#Tukutanesite #tukutanekazini
Anza Asubuh yako na kwa sala..β£οΈ
Ukiamini ya kwamba kupitia sala ndio utaweza fanikisha Yale Malengo yako uliyokusudia kwa Mwaka huu
#TukutaneSite
#ArdhiAdvisor
#ArdhiForum