Neema Lugangira(@neemalugangira) 's Twitter Profile Photo

Kesho Jumatatu trh 29/4, Wazee 10 Wenye Uhitaji kutoka wanakwenda kupata tabasamu kwa hisani ya kufuatia Wananchi 28 kutoka na kwa ujumla kuchangia jumla TZS. 580,985 kwa ajili ya .

NAWASHUKURU SANA KWA IMANI ❤️🙏

account_circle
Neema Lugangira(@neemalugangira) 's Twitter Profile Photo

Jana, Wazee 10 kutoka wamepata Tabasamu kwa hisani ya maana kila mmoja amepokea yenye Mchele Kilo 5, Maharage Kilo 5, Unga wa Sembe Kilo 5, Sukari Kilo 2 na Mafuta ya Kupikia Lita 2. Nawashukuru ❤️🙏

Aidha, niwape

Jana, Wazee 10 kutoka #Bukoba wamepata Tabasamu kwa hisani ya #NeemaNaMaendeleoFund maana kila mmoja amepokea #WazeeFoodPack yenye Mchele Kilo 5, Maharage Kilo 5, Unga wa Sembe Kilo 5, Sukari Kilo 2 na Mafuta ya Kupikia Lita 2. Nawashukuru #NeemaNaMaendeoFund ❤️🙏

Aidha, niwape
account_circle