Hiki kipindi cha #fiesta2022 napata nafasi ya kuwanyonyesha mashabiki zangu mikoani🤣 “mpo nyonyo?”..
#sumbawanga
En unos minutos comienza el abordaje. Desde Dallas son 14 horas y 25 minutos hasta Doha, Catar 🇶🇦. #Fiesta2022 .
Kampuni ya usafirishaji ya Tax Mtandao ya PING leo imetangaza ofa ya kipekee kwa kila Raia ataye-request kwenda Leaders Club kwenye Tamasha la FIESTA ambapo malipo yatagharimu Tsh. elfu mbili tu kwa safari bila kujali anatokea wapi ndani ya Dar es salaam. #FIESTA2022 #WekaMANENO
¡Comienza la #Fiesta2022 con EL GRÁFICO! Rumbo a Doha me esperan más de 24 horas de viaje, dos escalas y 14 horas de vuelo directo para llegar a la capital de la Copa del Mundo #Catar2022 🇶🇦🔜⏳⌛.
Hatimaye kiu ya miaka miwili ya kukosekana kwa Tamasha la FIESTA imemalizwa usiku wa kuamkia leo baada ya Tamasha hilo kufanyika Leaders Club, Jijini Dar es salaam na kuhusisha Wasanii zaidi ya 30. #wekaMANENO #FIESTA2022
Baada ya kukiwasha mjini #Swax jana sasa kituo kinacho fuata ni Tabora tukalambe Asali kwa wanyamwezi🤌
#Fiesta2022 #WekaManeno 🔥🔥
Mwanza heri ya siku kuu ya Burudani
Leo ndio ile siku kubwa kabisa ya kiburudani kwa wakazi wa kanda ya ziwa, kamata ticket yako mapema kisha tukutane CCM KIRUMBA tuka enjoy burudani kutoka kwa wasanii mbali mbali watakao kiwasha leo.
#Fiesta2022 #WekaManeno 🔥🔥
Toka viwanja vya Posta Kijitonyama tunahamia Viwanja vya Leaders Club Kinondoni kwenye #Fiesta2022 ya Clouds Media Jumamosi Dec 3 🙌🏿