Taasisi ya GH Foundation juzi jumapili 5/5 ilikabidhi nyumba yenye thamani ya Milioni 52 kwa Judith Ruhumbika mjane aliyekumbana na ukatili wa kijinsia Baada ya kufiwa na mumewe kitendo kilichopelekea kufukuzwa nyumbani na watoto wake 5. Ambapo baada ya kuondoka Kahama…
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dr Hussein Ali Mwinyi amewatembelea Wajane wa viongozi mbalimbali akiwemo wa aliyekuwa Muasisi wa Mapinduzi Marehemu Hafidh Suleiman Almasi , Mjane Bi Mtumwa Suleiman Farhan nyumbani kwake Kilimani Juu , Mkoa wa Mjini Magharibi